Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RECHO: MAISHA NJE YA MUZIKI

UNAPOZUN-GUMZIA kati ya wanamuziki wa kike wenye sauti ya aina yake wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva lazima utamtaja msanii kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho Mapenzi’. Msanii kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho Mapenzi’. Recho anakubalika zaidi kupitia nyimbo zake kama vile Upepo, Kizunguzungu na nyingine nyingi.
Hivi karibuni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

10 years ago

Mwananchi

MAISHA: Ngono, bangi ‘nje nje’ mgodini Ihanzutwa-2

>Maisha nje ya shughuli za uchimbaji wa madini katika eneo hili yamegubikwa na vitendo vya uhalifu vikiwamo uuzaji na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na biashara ya ngono. Sasa endelea…

 

5 years ago

Mwananchi

Jesca BM: Muziki ndio maisha yangu

Kati ya waimbaji nyota wa muziki wa injili wanaokuja kwa kasi hapa nchini hivi sasa, Jesca Honore maarufu kwa jina la Jesca BM ni miongoni mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana waingilia muziki TZ kukimu maisha

Muziki nchini Tanzania umekuwa kimbilio la vijana wengi ikiwa ni moja ya njia za kujikwamua dhidi ya umaskini

 

9 years ago

Bongo5

MB Dog kuja na documentary ya maisha yake ya muziki

MB Dog amesema anajipanga kuachia documendary itakayokuwa inazungumzia maisha yake ya muziki. Muimbaji huyo aliyewahi kuhit na ngoma kama ‘Latifa’ na ‘Si Uliniambia’ amesema ameamua kuachia documentary hiyo baada ya kuona mashabiki wanahitaji. “Awali kidogo Desso alifanya kama movie yake fulani hivi kwahiyo alifanya kama kunishirikisha ‘bwana njoo unipe support’, sasa kile kitu kikawa kimeniletea […]

 

9 years ago

Bongo5

Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja

Dogo Janja anafanya muziki, lakini kutokana na biashara ya muziki kuwa haina uhakika wa lini msanii ataingiza kiasi gani kama ilivyo kwa wafanyakazi wenye uhakika wa mshahara kila mwisho wa mwezi, anacho kitu kingine ambacho anakifanya kumuongezea kipato. Janjaro ambaye anafanya kazi chini ya Madee na Tip Top Connection, amesema kuwa anafanya biashara ndogo ndogo […]

 

10 years ago

GPL

SHETTA: MUZIKI UMEFANYA MAISHA YANGU KUWA MEPESI

MSANII wa Bongo Fleva, Nurdin Bilali, ‘Shetta’ amefunguka kuwa kupitia sanaa ya muziki anayoifanya amepata vitu vingi vilivyofanya maisha yake kuwa rahisi. Shetta anayetamba na kibao cha Kerewa alichomshirikisha staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha Mtu Kati cha Global TV Online. ...

 

9 years ago

Bongo5

Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun

Mkongwe wa Bongo fleva Inspekta Haroun amesema kuwa kitendo cha wasanii wengi wa sasa kuiga mitindo ya muziki wa nje inachangia kupoteza ladha ya muziki wetu. Inspekta ambaye anatakumbulika kwa hits kali ikiwemo ‘Mtoto Wa Geti kali’ aliyofanya akiwa Gangwe Mob, amesema wasanii wa sasa wanaimba vizuri na kufanya vizuri, lakini muziki wao una vionjo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani