MB Dog kuja na documentary ya maisha yake ya muziki
MB Dog amesema anajipanga kuachia documendary itakayokuwa inazungumzia maisha yake ya muziki. Muimbaji huyo aliyewahi kuhit na ngoma kama ‘Latifa’ na ‘Si Uliniambia’ amesema ameamua kuachia documentary hiyo baada ya kuona mashabiki wanahitaji. “Awali kidogo Desso alifanya kama movie yake fulani hivi kwahiyo alifanya kama kunishirikisha ‘bwana njoo unipe support’, sasa kile kitu kikawa kimeniletea […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Nov
6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QzsHbbnRvTs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s72-c/k-linn.jpg)
K-Lynn azungumzia maisha yake kama mama, kwanini hawezi kurudi kwenye muziki na kazi ya interior design
![](http://1.bp.blogspot.com/-7QPs5KjijR8/VWSJdQxwhGI/AAAAAAAAuco/1Vn-4TUVI-I/s640/k-linn.jpg)
Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama K-Lynn lakini kupitia tuzo za watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu.
K-Lynn ameiambia Bongo5 kuwa maisha akiwa kama mama watoto wawili mapacha yamekuwa ya aina yake na anayafurahia kila sekunde.“Nimejifunza kuwa mvumilivu, nimejifunza upendo ambao sijawahi kujisikia kabla. Jinsi unavyompenda mtoto ni tofauti ambavyo unaweza kumpenda mtu yoyote yule katika maisha yako,” alisema.
Katika hatua nyingine Miss Tanzania huyo wa...
10 years ago
Bongo511 Dec
Video: Tazama documentary ya ‘Muziki wa Hisia’
9 years ago
Bongo517 Oct
Video: Trailer ya documentary mpya ya ‘Maisha ya Bi Kidude’
9 years ago
Bongo509 Oct
Darassa kuja na mradi wa ‘Magic Muziki’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIFtBPvdef1Vnba-oYfwbw5jfIqBWADJ1tp8NS*8Y6OfhzTtN2q9NmPUjBlGZZjn0HZmwK8MoSAbkLj6uUNllnFG/mbdog6.jpg)
MB DOG,FAMILIA YAKE, KABAAH!
10 years ago
GPLTMK WANAUME HALISI KUJA NA TAMASHA LA MUZIKI IDD PILI
9 years ago
Bongo515 Dec
Dina Marious kuja na TV Show ‘Maisha Class’
![12292840_1526574470973286_395123677_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292840_1526574470973286_395123677_n-300x194.jpg)
Mtangazaji wa kipindi cha Uhondo cha EFM, Dina Marious anatarajia kuja na kipindi chake cha TV kiitwacho, ‘Maisha Class’ kitakachokuwa kikizungumzia mambo mbalimbali ya jamii.
Mtangazaji huyo wa zamani wa Clouds FM, ametoa taarifa hiyo kupitia Instagram:
Muda mrefu nimetamani kuwa na tv talk show lakini muda bado naona sasa wakati bado najiweka sawa tufanye hivi. Nimekuwa naandika sana hapa insta vitu mbali mbali vya kujengana na kukumbushana kuhusu maisha yetu ya kila siku.Haya ni...