Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMK WANAUME HALISI KUJA NA TAMASHA LA MUZIKI IDD PILI

Muongozaji wa tamasha hilo, Ally Coco (kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani)pamoja na Rich One. Wanahabari wakichukua tukio. Wakisikiliza kwa makini. UONGOZI wa Kundi la Muziki la TMK Wanaume Halisi lenye maskani yao, Temeke…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

tamasha la filamu Tanzania kufanyika mkoani Mtwara Idd Pili

KAMPUNI ya Bia Nchini (TBL) kupitia kinywaji chake cha Grand Malt kimetangaza kudhamini tamasha la wazi la filamu ‘Tanzania Open Festival’ litakalofanyika mapema mwezi Agosti mwaka huu mkoani Mtwara.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa muda wa wiki moja kuanzia sikukuu ya idd Pili hadi Agosti 5 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana , Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah, alisema kuwa tamasha la mwaka huu litafanyika mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mashujaa na hii...

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

10 years ago

Michuzi

EFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Mtangazaji, Dina Marios akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msanii YP wa TMK Wanaume Family afariki

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Yessaya Ambikile ‘YP’ amefariki dunia juzi usiku akiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Temeke ambako alikuwa anatibiwa....

 

10 years ago

Ghafla!Kenya

Kenyan Artists Send Their Condolences Following the Death Of TMK Wanaume ...


Kenyan Artists Send Their Condolences Following the Death Of TMK Wanaume ...
Ghafla!Kenya
Tanzania singing group TMK Wanaume Family lost one of their singers, YP, yesterday after he succumbed to chest problems that had kept him in hospital. The news came as a surprise as the TMK Wanaume Family is a well known group of musicians here in ...
TMK Wanaume rapper diesThe Star

all 2

 

11 years ago

GPL

TMK WANAUME FAMILY KABLA YA KUPANDA STEJI YA DAR LIVE

Baadhi ya wanamuziki wa kundi la TMK Family kutoka kushoto ni Chegge, YP na Mhe. Temba kabla ya kupanda steji ya Dar Live usiku huu wa kusherehekea mwaka mpya 2014. (PICHA NA ISSA MNALLY / GPL)

 

11 years ago

Michuzi

Wanaume TMK,Tip Top Connections kupamba mechi ya Azam,Yanga

 Makundi mawili maarufu ya muziki wa kizazi kipya nchini TMK family na Tip Top Connections wanatarajiwa kupamba mechi za ligi kuu Vodacom ya Simba na Yanga na ile ya Azam FC dhidi ya JKT Ruvu inayochezwa kesho Jumamosi jijini dar es salaam.

Uwepo wa burudani hizo ni sehemu ya mkakati wa mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom ya kuhitimisha msimu wa ligi wa 2013/2014 kwa kishindo na burudani ya aina yake.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom...

 

11 years ago

GPL

TMK WANAUME FAMILY WAKIKAMUA KATIKA USIKU WA ZAWADI DAR LIVE

Kundi la TMK Wanaume Family usiku wa kuamkia leo limefanya makamuzi ya nguvu katika shoo ya Usiku wa Zawadi iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani