Vijana waingilia muziki TZ kukimu maisha
Muziki nchini Tanzania umekuwa kimbilio la vijana wengi ikiwa ni moja ya njia za kujikwamua dhidi ya umaskini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Nov
6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’
Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgirei5p4CccdnEDAI8rbM-kyZ16iRKmZVfDLhxghAPVorCbpaT*YEznqnZ*RotfoiNHuE*woy4Ly5rvI9QSZs3T/8.jpg)
RECHO: MAISHA NJE YA MUZIKI
UNAPOZUN-GUMZIA kati ya wanamuziki wa kike wenye sauti ya aina yake wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva lazima utamtaja msanii kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho Mapenzi’. Msanii kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho Mapenzi’. Recho anakubalika zaidi kupitia nyimbo zake kama vile Upepo, Kizunguzungu na nyingine nyingi.
Hivi karibuni...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Jesca BM: Muziki ndio maisha yangu
Kati ya waimbaji nyota wa muziki wa injili wanaokuja kwa kasi hapa nchini hivi sasa, Jesca Honore maarufu kwa jina la Jesca BM ni miongoni mwao.
9 years ago
Bongo523 Sep
MB Dog kuja na documentary ya maisha yake ya muziki
MB Dog amesema anajipanga kuachia documendary itakayokuwa inazungumzia maisha yake ya muziki. Muimbaji huyo aliyewahi kuhit na ngoma kama ‘Latifa’ na ‘Si Uliniambia’ amesema ameamua kuachia documentary hiyo baada ya kuona mashabiki wanahitaji. “Awali kidogo Desso alifanya kama movie yake fulani hivi kwahiyo alifanya kama kunishirikisha ‘bwana njoo unipe support’, sasa kile kitu kikawa kimeniletea […]
10 years ago
GPL08 Sep
SHETTA: MUZIKI UMEFANYA MAISHA YANGU KUWA MEPESI
MSANII wa Bongo Fleva, Nurdin Bilali, ‘Shetta’ amefunguka kuwa kupitia sanaa ya muziki anayoifanya amepata vitu vingi vilivyofanya maisha yake kuwa rahisi. Shetta anayetamba na kibao cha Kerewa alichomshirikisha staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha Mtu Kati cha Global TV Online. ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QzsHbbnRvTs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nJyzVxp3OEs/default.jpg)
10 years ago
Bongo528 Jan
Nick wa Pili: Maisha uyaonayo kwenye tamthilia au video za muziki ni feki yasikupe stress
Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amewaasa vijana kuacha kuiga maisha ya mastaa mbalimbali wanayoyaona kwenye TV au mitandao ya kijamii kwakuwa si ya kweli na yanapotosha. Kupitia ukurusa wake wa Instagram, Nick ameandika: Maisha sasa yametawaliwa na, taarifa potofu ambazo zina aribu, mapenzi, familia , na maadili….taarifa nyingi zinatoka kwa media…(magazeti, tv, […]
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Vijana wawe na uthubutu katika maisha
TUNAISHI katika ulimwengu uliojaa changamoto katika kila nyanja ya maisha. Iwe kijamii, kiuchumi na kisiasa. Changamoto za maisha zinaweza kugeuka na kuwa kikwazo cha mafanikio ya kijana pale anapoziogopa badala...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania