Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwenzi: Bingwa wa kuiga sauti — 2

KATIKA makala iliyotangulia, tuliona mambo mengi kuhusiana na ndege kwenzi, lakini tukaishia katika maelezo ya maeneo ambayo ndege hawa wanapatikana kwa wingi. Tuliona kuwa kwenzi ni ndege anayepatikana katika mazingira...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja  amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wazawa watakiwa kuiga China

Watanzania wametakiwa kujifunza masuala mbalimbali ya kibishara na ukuzaji wa viwanda kwa wawekezaji kutoka China.

 

11 years ago

Mwananchi

Maudhui ya kuiga yanaziangusha filamu

>Wadau wa filamu ndani na nje ya nchi wanasema kuwa uwezo wa waigizaji wa hapa nchini umekua kwa kuigiza filamu zinazoweza kushindana na soko la tasnia hiyo. Filamu nyingi zimekuwa za mafunzo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuiga kwenu kunabomoa maadili yetu

'Nabembelezwa” ulikuwa ni moja ya nyimbo za Barnaba ambazo nilitokea kuzipenda sana. Lakini wimbo huo ilinikera pale video yake ilipotoka ikiwa na ‘Scene’ ambayo inawaonyesha watoto wa umri mdogo chini ya miaka saba wakipigana busu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana Madrid kuiga Ugiriki

Wafuasi wa chama cha mrengo wa kushoto cha Uspania wapata nguvu baada ya Syriza kushinda Ugiriki

 

10 years ago

StarTV

JUKATA laitaka Tanzania kuiga mfumo wa Zambia.

Na Immaculate Kilulya,

Dar es Salaam.

 

Jukwaa la Katiba Tanzania JUKATA limesema Tanzania inapaswa kuiga mfumo wa Serikali ya Zambia wa kupima afya za wagombea wa Urais na nafasi nyeti serikalini na majibu yao kutangazwa hadharani ili kuondoa tatizo la viongozi kufariki dunia wakiwa madarakani.

JUKATA inasema viongozi wa juu barani Afrika wamekuwa wakifariki wakiwa madarakani kutokana na magonjwa mbalimbali na kusababisha chaguzi kurudiwa hivyo kuathiri uchumi wa nchi hizo.

Zambia ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram kuiga mfano wa Islamic State

Kiongozi wa kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria ametoa taarifa akiahidi kuliheshimu kundi la wapiganaji wa IS

 

11 years ago

Habarileo

Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.

 

9 years ago

Bongo5

Kuiga muziki wa nje itatuletea athari baadae — Inspekta Haroun

Mkongwe wa Bongo fleva Inspekta Haroun amesema kuwa kitendo cha wasanii wengi wa sasa kuiga mitindo ya muziki wa nje inachangia kupoteza ladha ya muziki wetu. Inspekta ambaye anatakumbulika kwa hits kali ikiwemo ‘Mtoto Wa Geti kali’ aliyofanya akiwa Gangwe Mob, amesema wasanii wa sasa wanaimba vizuri na kufanya vizuri, lakini muziki wao una vionjo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani