HUSHPUPPI AKAMATWA KWA KUTAPELI WATU MILIONI 1.9 DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0WVq9iyjiSc/XvXvKZ2HAVI/AAAAAAALvjk/dRsqhStV4Xw0sTGChHzaQ626RH8xb5k2gCLcBGAsYHQ/s72-c/Hushpuppi2%2B%25281%2529.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVRAMON Olorunwa Abass raia wa Nigeria anayeshutumiwa kwa makosa ya udanganyifu amekamatwa akiwa na genge lake wakiwa wamepumzika katika makazi yao huko Dubai, kupitia ukurasa wa Twitter wa polisi Dubai, wamechapisha taarifa na video iliyokuwa inaonesha tukio la ukamtwaji wao.
Abbas ambaye anafahamika zaidi kwa jina la Hushpuppi amekamatwa mapema mwezi Juni akiwa na Olalekan Jacob Ponle marufu kama Woodberry na wengine 10.
Washukiwa 12 wamekamatwa kwa makosa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Video-Watu milioni 21 duniani ni watumwa:ILO
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Zaidi ya watu milioni moja wameathirika duniani
10 years ago
CloudsFM24 Mar
KIFUA KIKUU NI UGONJWA ULIO GUNDULIKA UNAUA WATU ZAIDI YA MILIONI 1 DUNIANI
![](http://api.ning.com/files/qhmaNpdkdBseM8rcov1OeaUwb3a1MWeB0Gnv4LGB7wDRGCkKzIYsm*4mbDnGcAmha-BelDIMoO26mrSqOek3TwHKUE2jsEGG/kifua2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBvheKKBXfM-uGeJyx*5rluJstG92w7*Rn7Usw*wRQRPBL3tBjsPTEce83OF-zggjvq1DoCmWLeaxhRRKL0GVi-2/tb.jpg?width=650)
KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu
11 years ago
MichuziMATAPELI YATUMIA MGAHAWA WA FRESH COACH MJINI MOSHI KUTAPELI MILIONI 5
11 years ago
Michuzi09 Feb
Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga
Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga.
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu
Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;
“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UKGEhBwGJyc/XmYK03GPH2I/AAAAAAALiLI/JfBrpfgN6IEBnRUBOpD7dwy_TCuH0PsEQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KALIUA YATOA MKOPO WA MILIONI 345 KWA VIKUNDI 57 KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imekabidhi mkopo wa shilingi milioni 345 kwa vikundi 57 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani katika mwaka wa fedha unaoendelea.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. John Pima wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yalifanyika jana Wilayani humo.
Alisema kati ya fedha hizo vikundi 28 vya wanawake vimepokea milioni 184, vikundi 19 vya vijana vimekopeshwa 133.5 na...