Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video-Watu milioni 21 duniani ni watumwa:ILO

Shirika la kimataifa la wafanyikazi ILO,linaamini kwamba kuna takriban watumwa milioni ishirini na moja duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

HUSHPUPPI AKAMATWA KWA KUTAPELI WATU MILIONI 1.9 DUNIANI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVRAMON Olorunwa Abass raia wa Nigeria anayeshutumiwa kwa makosa ya udanganyifu amekamatwa akiwa na genge lake wakiwa wamepumzika katika makazi yao huko Dubai, kupitia ukurasa wa Twitter wa polisi Dubai, wamechapisha taarifa na video iliyokuwa inaonesha tukio la ukamtwaji wao.
Abbas ambaye anafahamika zaidi kwa jina la Hushpuppi amekamatwa mapema mwezi Juni akiwa na Olalekan Jacob Ponle marufu kama Woodberry na wengine 10.
Washukiwa 12 wamekamatwa kwa makosa ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Zaidi ya watu milioni moja wameathirika duniani

Idadi ya walioambukizwa imekuwa mara mbili zaidi katika kipindi cha chini ya juma moja, kwa mujibu wa takwimu za sasa.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFUA KIKUU NI UGONJWA ULIO GUNDULIKA UNAUA WATU ZAIDI YA MILIONI 1 DUNIANI

Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania.Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa takwimu za shirika hilo, kwa dunia nzima mwaka 2012 watu milioni 8.6 waliambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu, na watu...

 

10 years ago

GPL

KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA

Mgonjwa wa kifua kikuu akipatiwa matibabu. KWA Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania. Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO MKUU WA 104 WA SHIRIKA LA KAZI DUNIANI (ILO), GENEVA 2015

Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudentia Kabaka (Kulia) na Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah Moshi (Kushoto) wakifuatilia majadiliano kwenye Mkutano wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) unaofanyika Geneva, Uswizi. Mada Kuu katika Mkutano huo ambao umehudhuriwa na wajumbe zaidi ya 2000 kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni ni Mchakato wa Kurasimisha Sekta Isiyo Rasmi na Mchango wa Ujasiriamali wa Kati na Mdogo katika Kutengeneza Ajira. Waziri Kabaka aliuhutubia Mkutano huo...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama alichokisema 2 Chainz baada ya kutumia mswaki aghali duniani, unauzwa tshs milioni 8.4

Unaweza kulipa $5,000 (takriban shilingi milioni 8.4) kununua mswaki tu? Bei ya mswaki huo wa Reinast ilimshangaza pia rapper huyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto milioni 120 wafanyiwa ukatili duniani

vitendo vya kikatili na dhuluma za kingono vyazidi kuongezeka ulimwenguni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakipingao Kiswahili ni watumwa

Siku zote katika makala zangu nimekuwa nikitetea mapinduzi ya lugha ya Kiswahili.

 

10 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na umri wa chini ya miaka 18

IMG_2147

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akihutubia mkutano wa masuala ya elimu kwa vijana wa bara la Afrika ili waweze kufanya maamuzi sahihi ya kiafya. Mkutano huo  umeandaliwa na serikali ya Ujerumani na ulifanyika huko New York tarehe 22.9.2014. 

Na Anna Nkinda – Maelezo, New York

Zaidi ya wasichana milioni 58 Duniani wameolewa wakiwa na  umri wa chini ya  miaka 18  kati ya hao milioni 15 wana umri wa kati ya miaka 10 hadi 14 jambo linalowasababisha kupata maambukizi ya Ugonjwa wa Ukimwi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani