Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto milioni 120 wafanyiwa ukatili duniani

vitendo vya kikatili na dhuluma za kingono vyazidi kuongezeka ulimwenguni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wasichana wafanyiwa ukatili Sudan Kusini

Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa Wanajeshi wa Sudan Kusini waliwabaka na kisha kuwachoma moto wasichana wakiwa hai majumbani mwao wakati wa operasheni mpya ya kikatili iliyofanywa hivi karibuni.

Flüchtlinge im Südsudan cialis bathtubs

Wachunguzi wa haki za binaadamu kutoka Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini – UNMISS, wameonya kuhusu kufanyika “matukio mengi ya ukiukaji wa haki za binaadamu” katika ripoti yao iliyowashirikisha waathiriwa 115, na mashuhuda kutoka jimbo la kaskazini...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake milioni 8 wafanyiwa ukeketaji

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaSERIKALI imesema wasichana na wanawake milioni 7.9 nchini wamekeketwa licha ya kuwepo sheria ambayo inazuia vitendo hivyo na kwamba hali hiyo inachangiwa na baadhi ya watendaji wa serikali kutokuwa tayari kumaliza tatizo hilo.

 

9 years ago

Michuzi

WATOTO 37 WAFANYIWA UPASUAJI MUHIMBILI

 Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamed Janabi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya taasisi hiyo kufanikiwa kuwafanyia upasuaji watoto 37. Mkuu wa Kitengo cha Moyo cha Watoto katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Godwin Shirau akizungumza na waandishi wa habari kuhusu matatizo mbalimbali ya moyo. Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakimsikiliza Profesa Mohamed Janabi leo katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015

DSC01093

Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.

DSC01095

Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.

Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...

 

5 years ago

CCM Blog

SAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE

Na Mwandishi Maalum, Simiyu
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.

Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/

Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie  na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

"Sasa hii tabia ya kuwageuza...

 

5 years ago

Michuzi

JAMII YATAKIWA KUPINGA UKATILI WA AINA ZOTE KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI


Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Afya- Idara Kuu ya maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Prudence Constantine na kushoto ni Afisa Maendeleo yaJamii Mkuu Bw. Erasto Ching’oro (kulia) akiongea na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani kwa mwaka 2020 jijini Dar es salaam leo hii.
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Afya- Idara Kuu ya maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Prudence Consntatine na...

 

9 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akizungumza juu ya Upungufu wa vitamini na Baadhi ya Madini muhimu kama Vitamini A, folate, Madini chuma Zinki na madini joto ni chazo cha vifo kwa Watoto chini ya miaka Mitano na chanzo kikubwa cha maradhi mbalimbali kote Duniani, kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa Taasisi ya Global Alliance for Iproved Nutrition (GAIN) ,Marc van Amerngen katika mkutano uliofanyika  leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurungenzi Mtendaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukatili unaofanyiwa watoto Zanzibar

Vitendo vya ukatili na udhalilishaji watoto ikiwemo ubakaji visiwani Zanzibar vimeelezwa kuwa tishio

 

9 years ago

Mwananchi

Watoto wazidi kufanyiwa ukatili

Watoto watatu kati ya 10 wenye umri chini ya miaka 18 nchini wamefanyiwa vitendo vya ukatili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani