Watoto milioni 120 wafanyiwa ukatili duniani
vitendo vya kikatili na dhuluma za kingono vyazidi kuongezeka ulimwenguni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV01 Jul
Wasichana wafanyiwa ukatili Sudan Kusini
Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa imesema kuwa Wanajeshi wa Sudan Kusini waliwabaka na kisha kuwachoma moto wasichana wakiwa hai majumbani mwao wakati wa operasheni mpya ya kikatili iliyofanywa hivi karibuni.
![Flüchtlinge im Südsudan](http://www.dw.com/image/0,,18446618_303,00.jpg)
Wachunguzi wa haki za binaadamu kutoka Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini – UNMISS, wameonya kuhusu kufanyika “matukio mengi ya ukiukaji wa haki za binaadamu” katika ripoti yao iliyowashirikisha waathiriwa 115, na mashuhuda kutoka jimbo la kaskazini...
10 years ago
Habarileo14 Mar
Wanawake milioni 8 wafanyiwa ukeketaji
SERIKALI imesema wasichana na wanawake milioni 7.9 nchini wamekeketwa licha ya kuwepo sheria ambayo inazuia vitendo hivyo na kwamba hali hiyo inachangiwa na baadhi ya watendaji wa serikali kutokuwa tayari kumaliza tatizo hilo.
9 years ago
MichuziWATOTO 37 WAFANYIWA UPASUAJI MUHIMBILI
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.
Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.
Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...
5 years ago
CCM BlogSAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/
Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii tabia ya kuwageuza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s2QI6P2KgLQ/Xk_2zliBPnI/AAAAAAALevE/MRomBgkZHcky9yMJuK0Hbj4bfRiA-tkfQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX.-NO.-1.jpg)
JAMII YATAKIWA KUPINGA UKATILI WA AINA ZOTE KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-s2QI6P2KgLQ/Xk_2zliBPnI/AAAAAAALevE/MRomBgkZHcky9yMJuK0Hbj4bfRiA-tkfQCLcBGAsYHQ/s640/PIX.-NO.-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX.-NO.-2.jpg)
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Afya- Idara Kuu ya maendeleoya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. Prudence Consntatine na...
9 years ago
MichuziZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Ukatili unaofanyiwa watoto Zanzibar
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Watoto wazidi kufanyiwa ukatili