Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATOTO 37 WAFANYIWA UPASUAJI MUHIMBILI

 Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamed Janabi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya taasisi hiyo kufanikiwa kuwafanyia upasuaji watoto 37. Mkuu wa Kitengo cha Moyo cha Watoto katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Godwin Shirau akizungumza na waandishi wa habari kuhusu matatizo mbalimbali ya moyo. Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakimsikiliza Profesa Mohamed Janabi leo katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwili wa Massawe wafanyiwa upasuaji

HATIMAYE upasuaji wa mwili wa marehemu Elneema Massawe anayedaiwa kuuawa kutokana na kipigo cha polisi umefanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kama walivyotaka ndugu wa marehemu. Akizungumza na Tanzania Daima ...

 

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa wafanyiwa upasuaji

>Hatimaye mmoja kati ya pacha waliokuwa wameungana kabla ya kutenganishwa kwa upasuaji nchini India, Elikana jana  alifanyiwa upasuaji wa kuziba njia ya muda ya haja kubwa na kutengenezewa ya kudumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mbeya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto milioni 120 wafanyiwa ukatili duniani

vitendo vya kikatili na dhuluma za kingono vyazidi kuongezeka ulimwenguni.

 

11 years ago

Habarileo

Upasuaji bure ubongo, mishipa ya fahamu Muhimbili

MADAKTARI bingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu, masikio na viungo kutoka nchini Misri wako nchini. Wamekuja kufanya kampeni maalumu ya afya, upasuaji na huduma mbalimbali kwa wagonjwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na Kitengo cha Mifupa Muhimbili (MOI).

 

10 years ago

Mtanzania

Upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa wasuasua

Mtoto mwenye kichwa kikubwa

Mtoto mwenye kichwa kikubwa

Hadia Khamis na Mwantum Saadi, Dar es Salaam

TAASISI ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), imekumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na uti wa mgongo ulio wazi.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA ofisini kwake Dar es Salaam jana, Meneja Ustawi wa taasisi hiyo, Almas Jumaa, alisema  kukosekana kwa vifaa hivyo kumesabisha wazazi wengi ambao watoto wao wana matatizo hayo, kushindwa kupata huduma kwa wakati...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto 60 wachunguzwa moyo Muhimbili

JUMLA ya watoto 60 wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo bure, Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na watakaobainika watapatiwa matibabu. Watoto hao ni wale ambao wazazi wao wanakipato...

 

5 years ago

BBCSwahili

Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto

Abigail Chamungwana anasoma masomo ya sayansi yaani Fizikia, Kemia, Baiolojia na Hesabu kwa sababu mbali na kuwa mwanamuziki anataka kuwa Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa watoto.

 

9 years ago

Michuzi

Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepatiwa msaada wa vifaa kumi  vya tiba vya kuwahudumia watoto  mara wapougua na kufikishwa kwenye hospitali hiyo.
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa  ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...

 

9 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI DAR ES SALAAM WANAWAKE 12 WAPATA WATOTO MKESHA WA KRISMAS


Afisa Muuguzi Msaidizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam Mwanne Satara akimsaidia kumuelekeza Lulu Mohamed namna ya kumfunika nguo Mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia Krismas Dar es Salaam ambapo akinamama 12 walipata watoto na Mmoja wa akinamama hao alipata mapacha 2 na kufanya watoto wa kiume kufikia 6 na wakike 7, kati yao akinamama waliofanyiwa upasuaji ni akinamama 10 na kati ya hao watoto njiti 2 na Hospitali ya Temeke akina mama waliojifungua hospitalini hapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani