Upasuaji bure ubongo, mishipa ya fahamu Muhimbili
MADAKTARI bingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu, masikio na viungo kutoka nchini Misri wako nchini. Wamekuja kufanya kampeni maalumu ya afya, upasuaji na huduma mbalimbali kwa wagonjwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na Kitengo cha Mifupa Muhimbili (MOI).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s72-c/01.ABG.jpg)
AFRICAN BARRICK GOLD MINING WADHAMINI TIBA YA UPASUAJI BURE KWA KICHWA, MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s1600/01.ABG.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VpMzVLS0kF8/UzGKBG40kUI/AAAAAAAA02g/dweXnqDr42M/s1600/01.ABG9.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Muhimbili kuzibua mishipa ya moyo kwa dakika 45
10 years ago
Dewji Blog25 May
Upasuaji wenye madhara madogo, hatua mpya kwa matibabu ya magonjwa ya mishipa ya Moyo
Ugonjwa wa mishipa ya moyo (CAD) ni aina ya ugonjwa wa moyo unaowakumba wengi, huongoza kusababisha vifo kwa wengi ikiwemo wanawake na wanaume. Ugonjwa hutokea wakati mishipa ya ateri inayosambaza damu kwenye misuli ya moyo inapokakamaa na kuwa nyembamba. Hii ni kwa sababu ya kujengeka kwa kolesteroli na vitu vingine kama utando kwenye kuta za ndani ya moyo. Kujijenga huku kisayansi hujulikana kama ‘atherosclerosis’. Kujengeka kwake kunapoongezeka kunapunguza mtiririko wa damu kwenye atiri,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA AFYA, DK. NDUGULILE AISIFU TAASISI YA JKCI KWA UPASUAJI WA KUPANDIKIZA MISHIPA YA DAMU KWENYE MOYO
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Samaki afanyiwa upasuaji wa ubongo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zQzgt71f9GA/XrGxQHroVpI/AAAAAAALpQQ/05JvGXXkybUO9OsExwKfd--earluJZe2gCLcBGAsYHQ/s72-c/9a7db3ed-b458-49c6-a595-1a4e94a8e0ad.jpg)
Ujenzi wa maabara ya kisasa ya upasuaji ubongo wakamilika kwa asimia 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-zQzgt71f9GA/XrGxQHroVpI/AAAAAAALpQQ/05JvGXXkybUO9OsExwKfd--earluJZe2gCLcBGAsYHQ/s640/9a7db3ed-b458-49c6-a595-1a4e94a8e0ad.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/261cb04c-b903-45f2-8593-45d5346f2f7e.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface akitoa taarifa kuhusiana na hatua ya ujenzi wa mradi wa maabara ya kisasa ya upasuaji wa Ubongo (Angio suite) ambao umekamilika kwa asilimia 70%
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/711287e1-3bba-40ac-b7b7-2b86bac91e4b.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1df20ec4-7b45-41e3-bfe2-4674e21e7b6b.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akitoa maelekezo katika chumba cha teleradiolojia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s72-c/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
UJENZI WA MAABARA YA KISASA YA UPASUAJI UBONGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 70
![](https://1.bp.blogspot.com/-NofDT0p5cxE/XrF6X5-oCRI/AAAAAAAAnbQ/RQL8YqJnOCEp45MTa946rw1Tp794FQiHwCLcBGAsYHQ/s320/d1c789fe-573d-484c-af9c-720637eb3995.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Dkt Faustine Ndugulile akizungumza jambo wakati alipotembelea Taasisi ya Mifupa MOI nakuangalia chumba cha teleradiolojia kinachotarajiwa kufanyiwa majaribio siku ya ijumaa tarehe 08/05/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-m19bOCX9w3o/XrF6XHSthtI/AAAAAAAAnbI/L1VB48baMGgf1ySd29OsjMOGZOr-0HSsgCLcBGAsYHQ/s320/085cf922-7005-44e1-a2e2-e4bf59122201.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IEHEw1CII9U/XrF6YaCEMZI/AAAAAAAAnbU/S793HWGynmch6Q77Pe2PsY7A2QbtxMHRgCLcBGAsYHQ/s320/e756932f-0b65-44a0-902d-4850a5b3fd01.jpg)
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Bwana Budha: Mwanamume anayepiga ngoma huku akifanyiwa upasuaji wa ubongo