Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanaume mmoja wa London athibitishwa kuwa mtu wa pili duniani kupona HIV

Mwanaume kutoka London Uingereza amethithitishwa kuwa ndiye mtu wa pili kupona virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi, wamesema madaktari.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

Kwa wale nitakaowakwaza naomba mniwie radhi lakini kweli hata mimi hainipendezi kuyasema haya ila ni vema tu niwaeleze dada zangu kwasababu ukweli unaoumiza ni bora, kuliko uongo unaofurahisha.Hakuna mwanaume riijali anayeweza kuwa na mwanamke mmoja, eidha awe ameoa au hata kama hajaoa. Hakuna mwanaume wa aina hiyo Karne hii, usijidanganye kukimbilia kwenye ndoa ukiamini kwamba baada ya kuolewa utajimilikisha huyo mwanaume aliyekuoa, never.
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandamano London: Tulimsaidia mtu mmoja kutouwawa katika maandano ya Kifo cha George Floyd

Patrick Hutchinson amepongezwa sana baada ya picha yake akimsaidia mtu aliyejaruhiwa kusambaa, wakati wa makabiliano kati ya wafuasi wa Black Lives Matter dhidi ya wale wanaounga

 

5 years ago

Michuzi

UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA


Na WAMJW-Dodoma

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.

Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.

Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanaume mmoja akamatwa kwa kuhatarisha maisha ya watu

Jamaa mmoja Ujerumani ,amekamatwa kwa kujaribu kutekeleza mauwaji

 

9 years ago

StarTV

Polis Mara lamshikilia Mwanaume mmoja kwakumbaka binti yake

Jeshi la polisi wilayani bunda linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kuzaa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi

Afisa tarafa ya chamriho, bw. Boniphace maiga, amemtaja mwanaume huyo kuwa ni athuman jeck mkazi wa kijiji cha mariwanda, kata ya hunyari wilayani hapa.

Amesema kuwa mwanaume huyo alimfanyia unyama huo binti yake wakati mke wake akiwa amekwenda kwenye biashara, zake ambapo anadaiwa kumfungia ndani ya nyumba yao na kuanza kumbaka.

Baada ya kitendo hicho...

 

11 years ago

Michuzi

Ziara ya JK London sehemu ya Pili

Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza ukishirikiana na Urban Pulse Creative Media wanakuletea ziara ya Raisi Jakaya Kikwete London Tarehe 30.3.14 kukutana na watanzania waishio uingereza. Hii ni sehemu ya Pili

 

9 years ago

Press

ECOBANK FOUNDATION SUPPORTS LONGSTANDING PARTNERSHIP WITH WACP AND RCP LONDON TO REDUCE IMPACT OF HIV, TUBERCULOSIS AND MALARIA

M-PACT Ibadan ProgrammeThe Ecobank Foundation, along with two of its partners, the West African College of Physicians and the Royal College of Physicians (London) today launched the second year of a strategic partnership to reduce the impact of HIV, tuberculosis and malaria.

The Millennium Development Goal 6 Partnership for African Clinical Training, also known by the acronym ‘M-PACT,’ is a three-year project sponsored by the Ecobank Foundation, and managed by the West African College of Physicians together with...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa

Mtu mmoja amechinjwa na mwengine akajeruhiwa vibaya baada ya shambulizi la kiislamu katika mji wa Lyon Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura

Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani