Mara yakamata wahamiaji haramu 435
JUMLA ya wahamiaji haramu 435 kwa mwaka 2015 wamekamatwa mkoani Mara, kwa kuingia nchini kinyume cha sheria. Kati yao kutoka Kenya ni raia 318, Uganda wawili, Burundi 44, Somalia watatu na Ethiopia 68.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Jan
JK aonya wahamiaji haramu
RAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.
10 years ago
BBCSwahili19 May
EU kupambana na wahamiaji haramu
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
‘Msihifadhi wahamiaji haramu’
KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wahamiaji haramu 21 wakamatwa
IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Wahamiaji haramu 69 wakamatwa Kilimanjaro
IDARA ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro inawashikilia raia 69 wa Ethiopia wanaodaiwa kuingia nchini kwa njia za panya katika wilaya za Mwanga na Moshi Vijijini. Akizungumza na TanzaniaDima jana, Ofisa Uhamijaji...
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
WAHAMIAJI HARAMU 21 WADAKWA MAKAMBAKO
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Mikakati kupambana na wahamiaji haramu
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wahamiaji haramu 40 wazama Yemen
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wahamiaji haramu 57 wakamatwa K’njaro