Mbowe akwama kwa mara ya nne kufika mahakamani
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, jana alikwama kwa mara ya nne mfululizo kufika katika Mahakama ya Wilaya ya Hai kutoa utetezi wake kwenye kesi inayomkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Mbowe anadaiwa kumshambulia mwangalizi huyo, Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, Kata ya Machame Kusini, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimnajaro mwaka 2010.
Jana Mbowe alitakiwa kutoa utetezi wake mbele ya Hakimu Mfawidhi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
Mbowe ashindwa kufika mahakamani
Na William Paul, Hai
MAHAKAMA ya Wilaya ya Hai, jana ilishindwa kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, anayetuhumiwa kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu.
Ilielezwa kuwa sababu ya kutoendelea kwa kesi hiyo ni mshitakiwa kutofika mahakamani.
Ilidaiwa kuwa, Mbowe alishindwa kufika mahakamani kutokana na kuharibika kwa gari alilokuwa akisafiria.
Mbele ya Hakimu Mfawidhi, Denis Mpelembwa, wakili wa utetezi, Issa Rajabu, alidai mahakamani kuwa mshitakiwa...
9 years ago
Habarileo06 Oct
Lwakatare akwama kufika shaurini
MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare jana alishindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kusikiliza kesi ya kujaribu kudhuru kwa sumu inayomkabili pamoja na Ludovick Joseph.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zDLD6MdNpWY/Tzts3Xyqf5I/AAAAAAAA-Ac/2PfNEmO96jg/s72-c/re3.jpg)
MISS TANZANIA SHAKANI, LUNDENGA AKWAMA MAHAKAMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zDLD6MdNpWY/Tzts3Xyqf5I/AAAAAAAA-Ac/2PfNEmO96jg/s640/re3.jpg)
NA FLORA MWAKALASA - HABARI LEO.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na mwanzilishi wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga dhidi ya ombi la kuzuiwa kuendelea kuendesha mashindano hayo yanayotarajiwa kufikia kilele chake Oktoba 11, mwaka huu.
Hakimu Mkazi Frank Moshi alitoa uamuzi huo jana baada ya kupitia hoja za pingamizi hilo lililowasilishwa na Lundenga kupitia kwa Wakili wake Audax Kahendaguza.
Akitoa uamuzi...
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Morsi kufika mahakamani Misri
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s400/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s72-c/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
MKURUGENZI KAGURUMJULI APONGEZWA KINONDONI KUONGOZA MARA NNE MFULULIZO MATOKEO KIDATO CHA NNE NA PILI KIMKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P3xO_MwNkrI/Xk-TwVVoiRI/AAAAAAALep4/3lTk2VZschQkoMaqnEtg08LSj8to6xmywCLcBGAsYHQ/s640/c492ed38-3286-49f2-81dc-81b5b1ea4ec6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/20222c5a-07cf-45a0-9dcb-9d98d5d96a97.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/00e8a025-773f-4d6f-b42c-f91b99f889fa.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9660b276-f012-4575-9772-386e0eb3ef4a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/428d3d77-292e-4614-9437-0fc2f6ff39f3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s72-c/DSC07091.jpg)
Makala ya Sheria: KUMLAZIMISHA SHAHIDI KUFIKA MAHAKAMANI...
![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s640/DSC07091.jpg)
Na Bashir YakubKesi/shauri lolote iwe jinai au madai kuishinda kwake mara nyingi hutegemea mambo makuu mawili. Kwanza mashahidi ,pili ushahidi. Mashahidi siku zote ni watu. Hakuna kitu kinaweza kuitwa mashahidi halafu kisiwe binadamu. Hii ni tofauti na ushahidi. Ushahidi si lazima wawe binadamu. Vitu hasa vizibiti(exhibit) ndivyo huitwa ushahidi. Nyaraka, mali, vifaa, na kila kitu ambacho mtu anaweza kukitumia mahakamani kuthibitisha kile ...
10 years ago
Bongo504 Feb
Nicole Scherzinger na Lewis Hamilton waachana kwa mara ya nne!
9 years ago
StarTV03 Dec
Polis Mara yakamata wa nne kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati
Polisi mkoani Manyara imewakamata watu wanne wakazi wa kijiji cha Himiti wilayani Babati kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati na kufanya shughuli za kilimo.
Aidha jeshi hilo linawasaka watu wengine saba kwa tuhuma hizo za uvamizi wa hifadhi ya ziwa hilo.
Ziwa Babati ndilo linalotegemewa na wakazi wa wilaya ya Babati kama chanzo kikuu cha samaki.
Vijiji vinavyolizunguka ziwa hili vimeweka sheria ya kutofanya shughuli zozote ndani ya mita 200.
Baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vijiji wamevamia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10