Aliyempiga kichwa mwamuzi aadhibiwa
Mchezaji wa timu ya SK Rum ya nchini Austria amefungiwa kutocheza mechi 70kama adhabu kwa kumpiga kichwa mwamuzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLALIYEMPIGA HAUSIGELI ARUDI TENA RUMANDE
Mtuhumiwa wa kesi ya kumtesa hausigeli wake, Yasinta Rwechengura baada ya kushuka kutoka kwenye gari la magereza akielekea kizimbani chizi ya ulinzi mkali wa askari magereza. Ndugu wa Yasinta wakiwa nje ya jengo la Mahakama ya Kinondoni kabla ya mtuhumiwa huyo kupandishwa kizimbani.…
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
George Michael wa Ruvu aadhibiwa
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mechi tatu,beki George Michael Osei wa Ruvu Shooting .
10 years ago
Vijimambo01 Oct
Aadhibiwa kwa kusujudu uwanjani
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/09/30/140930094612_mchezaji_wa_kansas_city__husain_abdullah_aadhibiwa_kwa_kuomba_baada_ya_kufunga_bao_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Refarii alimwadhibu papo hapo Abdullah alipoinuka baada ya kusheherekea kwa kupiga sijida.
Aliyekuwa refarii wa zamani wa NFL Mike Pereira alisema kuwa sio hatia mtu kupiga sijida.
Tukio hilo linawadia wakati ambapo ligi hiyo inapigwa msasa kufuatia utovu wa nidhamu mbali na tuhuma chungu...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mchezaji aliyemtongoza mwanahabari aadhibiwa
Nahodha wa zamani wa timu ya kriketi ya West Indies, Chris Gayle amepigwa faini baada yake kumtongoza mwanahabari wakati wa mahojiano ya moja kwa moja.
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kocha wa Kenya aadhibiwa na CAF
Adel Amrouche amefungiwa mechi kwa mwaka 1 kwa madai ya kumtemea mate afisa wa soka
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu
Mwanamuziki maarufu wa Marekani Justin Bieber amekiri kosa la kufanya uharibifu katika nyumba ya jirani yake.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani
Kocha wa Sunderland Gus Poyet ameadhibiwa kwa kumshambulia mwenzake wa Hull City
10 years ago
Habarileo10 Apr
Diwani aadhibiwa kufua shuka za hospitali
DIWANI wa Kata ya Kasanda wilayani Kakonko, Dickson Barutwa (40) wa Chadema na wenzake watatu, wamehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kibondo mkoani hapa adhabu ya kufua shuka za wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani kwa siku 14 baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Aadhibiwa kwa kutokwenda haja chooni
Polisi Tanzania imemkamata mwanamume aliyemfungia na kumtesa mwanawe kwa miezi saba ndani ya nyumba kwa kutokwenda haja chooni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania