Mchezaji aliyemtongoza mwanahabari aadhibiwa
Nahodha wa zamani wa timu ya kriketi ya West Indies, Chris Gayle amepigwa faini baada yake kumtongoza mwanahabari wakati wa mahojiano ya moja kwa moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.
“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
George Michael wa Ruvu aadhibiwa
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kocha wa Kenya aadhibiwa na CAF
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Aliyempiga kichwa mwamuzi aadhibiwa
10 years ago
Vijimambo01 Oct
Aadhibiwa kwa kusujudu uwanjani
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/09/30/140930094612_mchezaji_wa_kansas_city__husain_abdullah_aadhibiwa_kwa_kuomba_baada_ya_kufunga_bao_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Refarii alimwadhibu papo hapo Abdullah alipoinuka baada ya kusheherekea kwa kupiga sijida.
Aliyekuwa refarii wa zamani wa NFL Mike Pereira alisema kuwa sio hatia mtu kupiga sijida.
Tukio hilo linawadia wakati ambapo ligi hiyo inapigwa msasa kufuatia utovu wa nidhamu mbali na tuhuma chungu...
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Poyet aadhibiwa kwa kuzua purukushani
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu
10 years ago
Habarileo10 Apr
Diwani aadhibiwa kufua shuka za hospitali
DIWANI wa Kata ya Kasanda wilayani Kakonko, Dickson Barutwa (40) wa Chadema na wenzake watatu, wamehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kibondo mkoani hapa adhabu ya kufua shuka za wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani kwa siku 14 baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.