Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bobby Kristina, Whitney yaleyale

“Maji hufuata mkondo,” walisema Waswahili. Ndivyo unavyoweza kumwelezea Bobby Kristina, mtoto wa aliyekuwa nguli wa miondoko ya muziki wa Pop Whitney Huston aliyepoteza maisha kutokana na matumizi ya dawa za kulevya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bobby Brown achoshwa na hali ya Kristina

bobby-brown-bobbi-kristinaNA BADI MCHOMOLO
BAADA ya Kristina Brown kukaa hospitali kwa muda wa siku 73 tangu aanguke bafuni Januari 31 mwaka huu, baba yake, Bobby Brown, ameonekana kukata tamaa ya kupona kwa binti yake huyo.
Kristina bado anaishi kwa kutegemea nguvu ya mashine, lakini hata hivyo hali yake haileti matumaini tangu alipopelekwa hospitalini.
“Mpaka sasa hatujui nini kitatokea kwa mtoto wetu, tumemkabidhi Mungu kila kitu kwa kuwa yeye ndiye mwenye maamuzi ya mwisho katika kila jambo.”
Mbali na Bobby Brown...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bobbi Kristina mwanawe Whitney afariki

Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B amefariki dunia

 

10 years ago

TheCitizen

Whitney Houston & Bobby Brown's Daughter Passes After Nearly 7-Month Coma

Bobbi Kristina Brown has passed away at a hospice center in Atlanta.

 

10 years ago

Vijimambo

Whitney Houston's Daughter Bobbi Kristina Dead at 22

Whitney Houston and Bobby Brown's daughter Bobbi Kristina has died at the age of 22.
She passed away outside Atlanta in the hospice care facility where she's been since June 24 ... when her family decided to take her off all meds. As we first reported, a specialist had told them there was no chance of recovery. Bobbi Kristina was found submerged in her bathtub on January 31, and police believe she was underwater for anywhere between 2 and 5 minutes. Paramedics were able to resuscitate her,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Bobby Brown Says Bobbi Kristina ‘Is Awake’

720x405-153963570

Bobbi

“I can say today, Bobbi is awake. She’s watching me,” he told a shocked crowd at the Verizon Theater in Dallas, Texas, on Saturday. A video of his statement was posted to Instagram.

The video was captioned, “Theirs [sic] been terrible rumors circulating for months … @kingbobbybrown would like to share a message with you all … From our family to yours … Thank you for all the well wishes and prayers for his daughter #BK …. But let it be known that #GOD holds the glory …. continue to...

 

10 years ago

Vijimambo

BOBBI KRISTINA AMBAYE NI MTOTO WA WHITNEY HOUSTON AFARIKI DUNIA

Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake.Msemaji wa familia Kristen Foster amesema Bobbi amefariki akiwa amezungukwa na familia yake ,''hatimaye...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA WHITNEY HOUSTON, BOBBI KRISTINA ALAZWA HALI YAKE NI TETE

Bobbi Kristina mtoto wa Whitney Houston aliyezaa na Bobby Brown (picha juu) amekutwa ameanguka kifudifudi bafuni na kukimbizwa hospitali siku ya Jumamosi Januari 31.

Bobbi Kristina alikutwa kwenye bafu huku uso wake ukiwa ameinamia chini huku akishindwa kupumua na kukimbizwa hospitali ambapo madaktari wamejaribu kumrudisha katika hali yake ya kawaida ambayo sasa inaonekana ubongo wake unafanyakazi kwa asilimia ya chini kitu ambacho madaktari wamesema sio dalili nzuri kwa mgonjwa wa namna hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

MADAKATARI WAMWAMBIA BOBBY BROWN AACHE BOBBI KRISTINA APUMZIKE KWA AMANI

Bobby Brown akiwa nje ya hospitali ya chuo kikuu cha Emory siku ya Alhamisi Feb 5, 2015 kwenye siku yake ya kuzaliwa akipokua ametoka kwa ajili ya kuvuta sigara.Bobby Brown akiongozana na familia ya Houston alipokua akiwasili hospitali mapema leo Alhamisi kumjulia hali mwanae Bobbi Kristina ambaye yupo kwenye koma. Familia ya Houston imekuwanae sambamba tangia siku ya kwanza ya maswahibu ya mtoto Bobbi Kristina.bobby-brown-sad-birthday-at-the-hospitalBobby Brown akiongozana na Gary Houston ambaye ni mpwa wake Whitney...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani