Cameron asema IS ni tishio kubwa
Waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron amesema kuwa wapiganaji wa islamic state ni tishio kubwa mataifa ya magharibi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV14 Apr
Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”
Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.
Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.
Lakini...
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa
11 years ago
Habarileo26 Mar
Ugaidi bado ni tishio kubwa EAC - Kenyatta
RAIS wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Uhuru Kenyatta amesihi nchi wanachama kushirikiana dhidi ya ugaidi na ujangili, kwa kuwa hakuna nchi yoyote inayoweza kujiona ipo huru zaidi kuhusu matukio hayo.
9 years ago
Bongo526 Sep
Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake
9 years ago
Bongo521 Aug
Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga
9 years ago
Bongo522 Dec
Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu
![Peter Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Peter-Msechu-300x194.jpg)
Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.
Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani
“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vK-RlOM7S2U/XoSGNltLRTI/AAAAAAALlyM/N3Icm0e6-9c_f5iONVKgKusIUPbGrySHQCLcBGAsYHQ/s72-c/TITO%2BMAGOTI.jpg)
OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Cameron azuru Lebanon