Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cameron: ni sawa magazeti kukera

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron atafautiana na maneno ya Papa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron azuru Lebanon

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, anazuru Lebanon ili kujionea mwenyewe namna msaada kutoka Uingereza unavyotumika huko

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhamiaji:Cameron kuishawishi Ujerumani

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amezungumzo na kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kuhusiana na mageuzi katika jumuia ya muungano wa bara ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron asema IS ni tishio kubwa

Waziri mkuu nchini Uingereza David Cameron amesema kuwa wapiganaji wa islamic state ni tishio kubwa mataifa ya magharibi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameron:Waliotekwa Nigeria warejeshwe

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ameahidi Uingereza kusaidia jitihada za kuwapata wasichana waliotekwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron atakiwa asiwadhalilishe wahamiaji

Waziri mkuu wa Uingereza ameibua utata, kwa kuwaita wahamiaji haramu wanaojaribu kuvuka mpaka na kuingia Uingereza kama ''bumba la nyuki''.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron aandaa serikali mpya

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anatumia wikendi hii kukamilisha orodha yake ya mawaziri baada ya chama chake kushinda

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameron ataka Uingereza kushambulia IS

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, amedhihirisha zaidi, kwamba anataka wanajeshi wa Uingereza wawashambulie wapiganaji wa Islamic State nchini Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani