Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cameron:Waliotekwa Nigeria warejeshwe

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ameahidi Uingereza kusaidia jitihada za kuwapata wasichana waliotekwa Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Nigeria amesema serikali isilaumiwe kuwa haikufanya chochote kuwaokoa wasichana waliotekwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Malala azuru Nigeria kuwaenzi waliotekwa

Mamlaka nchini Nigeria inasema kuwa imegundua njama ya kutaka kuvilipua vituo vya usafiri katika mji mkuu wa Abuja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi kuhusu wanafunzi waliotekwa Nigeria

Hali ya wasiwasi imetanda kuhusu zaidi ya wasichana 100 waliotekwa nyara na washukiwa wa kundi la wapiganaji la Boko Haram

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA

Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwaJeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.Katika taarifa, Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema watu hao waliokolewa katika oparesheni iliyofanyika katika eneo la Gamoru jimboni Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Nigeria  John Enenche amesema mateka hao ni pamoja na wanawake 105 na watoto 136, ambao wameokolewa wilayani Mudu kwenye operesheni iliyofanywa na vikosi vya Lafiya Dole Jumapili, na sasa wako...

 

10 years ago

GPL

WASICHANA ZAIDI YA 200 WALIOTEKWA NIGERIA WAKUMBUKWA BAADA YA MWAKA 1

Wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. MAADHIMISHO ya mwaka mmoja tangu wasichana zaidi ya 200 kutekwa na Kundi la Boko Haram huko Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria yanafanyika leo Nigeria. Wananchi wakiandamana kutaka kurudishwa kwa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. Wasichana zaidi ya 200 walitekwa Aprili 14, mwaka jana na kuitikisa dunia huku baadhi ya mataifa kama Marekani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa

Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya waliotekwa 2011 waokolewa

Wakenya wafanyakazi wa mashirika ya misaada ya kibinadamu ambao walikuwa wametekwa mwaka 2011 wameokolewa na majeshi ya Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.

Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko H: Waonyesha wasichana waliotekwa

Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu serikali itawaachilia huru wapiganaji wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani