Cameron:Waliotekwa Nigeria warejeshwe
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ameahidi Uingereza kusaidia jitihada za kuwapata wasichana waliotekwa Nigeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Nigeria amesema serikali isilaumiwe kuwa haikufanya chochote kuwaokoa wasichana waliotekwa.
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Malala azuru Nigeria kuwaenzi waliotekwa
Mamlaka nchini Nigeria inasema kuwa imegundua njama ya kutaka kuvilipua vituo vya usafiri katika mji mkuu wa Abuja.
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Wasiwasi kuhusu wanafunzi waliotekwa Nigeria
Hali ya wasiwasi imetanda kuhusu zaidi ya wasichana 100 waliotekwa nyara na washukiwa wa kundi la wapiganaji la Boko Haram
5 years ago
CCM Blog30 May
WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA
![Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa](https://media.parstoday.com/image/4bpo1a9aff342814gk1_800C450.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1ZIry232fAJF8Pp0Vjf-H-7C3acWJ3QWbVniK3BBPYc-krN7aikmPQIwQIFn9hDhZWfJiPPxT*LN0a*gPxnPcjp/wasichana.jpg)
WASICHANA ZAIDI YA 200 WALIOTEKWA NIGERIA WAKUMBUKWA BAADA YA MWAKA 1
Wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. MAADHIMISHO ya mwaka mmoja tangu wasichana zaidi ya 200 kutekwa na Kundi la Boko Haram huko Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria yanafanyika leo Nigeria. Wananchi wakiandamana kutaka kurudishwa kwa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. Wasichana zaidi ya 200 walitekwa Aprili 14, mwaka jana na kuitikisa dunia huku baadhi ya mataifa kama Marekani...
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa
Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Wakenya waliotekwa 2011 waokolewa
Wakenya wafanyakazi wa mashirika ya misaada ya kibinadamu ambao walikuwa wametekwa mwaka 2011 wameokolewa na majeshi ya Kenya.
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.
Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa
11 years ago
BBCSwahili12 May
Boko H: Waonyesha wasichana waliotekwa
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu serikali itawaachilia huru wapiganaji wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania