Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakenya waliotekwa 2011 waokolewa

Wakenya wafanyakazi wa mashirika ya misaada ya kibinadamu ambao walikuwa wametekwa mwaka 2011 wameokolewa na majeshi ya Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

I was misled into funding 2011 polls, says Mutebile

>Bank of Uganda Governor Emmanuel Tumusiime-Mutebile has said he was misled by the government into indirectly financing electioneering activities in 2011, an action which plunged the country’s economy into chaos.

 

11 years ago

BBCSwahili

50 waokolewa kutoka Antarctic

Angalau watafiti 50 waliokuwa wameabiri meli ya Urusi iliyokwama katika bahari ya Antarctic hatimaye wameokolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa

Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa

Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto 48 waokolewa, Ivory Coast

Watoto wapatao 48 wameokolewa katika mashamba ya Kakao walikokuwa wakitumikishwa kusini Magharibi mwa Ivory Coast.

 

9 years ago

Habarileo

Wafukiwa na kifusi siku 41, waokolewa

WATU watano ambao ni wachimbaji wadogo katika Mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, wameokolewa na wenzao baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo na kukaa kwa muda wa siku 41.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miatano waokolewa machimboni S: Afrika

Inakadiriwa wachimbaji wapatao mia tano wameokolewa na magari ya zima moto kutoka chini ya mashimo ya madini nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

293 waokolewa nchini Nigeria

Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa watoto wa kike mia mbili na akina mama tisini na tatu kutoka katika kambi ya Boko

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 2000 waokolewa baharini

Wanamaji wa Italia wamewaokoa wahamiaji haramu 2000 katika moja ya operesheni kubwa zaidi karibu na ufukwe wa Libya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani