Mauzauza ya BVR yahamia Dar
Fundi wa mashine za Biometric Voters Registration (BVR) zinazotumika kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura, Neema Mbwambo akiirekebisha moja ya mashine hizo katika kituo kilichopo Shule ya Sekondari ya Zawadi, Tabata Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory
By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Ndanda yahamia Dar kusaka makali
NDANDA FC ya Mtwara, moja ya timu ngeni katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo kuanza kambi itakayowapa makali ya kuhimili kishindo cha ligi...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Kesi kupinga Bunge la Katiba yahamia Dar
10 years ago
Michuzi23 May
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s72-c/MMGL0288.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI DAR, AKOMBA UDHAMINI WA WANACCM 212, 150
![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s640/MMGL0288.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iY7vB1Zowsw/VY69pCNZwTI/AAAAAAAHkfg/Kg7nre7entE/s640/MMGL0326.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dDC09neOD8g/VY7UXwbTtLI/AAAAAAAHkmk/A_iN27UXIaQ/s72-c/MMGL1678.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI DAR, KINGUNGWE AMWAGA WINO HADHARANI KUMUUNGA MKONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-dDC09neOD8g/VY7UXwbTtLI/AAAAAAAHkmk/A_iN27UXIaQ/s640/MMGL1678.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-zSmPpGv2bpY/VmG5Qnh-AJI/AAAAAAAAr-w/0tsoRQCyiwM/s72-c/seif.jpg)
MAUZAUZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zSmPpGv2bpY/VmG5Qnh-AJI/AAAAAAAAr-w/0tsoRQCyiwM/s1600/seif.jpg)
(Dkt. MUHAMMED SEIF KHATIB) Mwanadamu ameumbwa na milango ya fahamu. Milango hiyo ya utambuzi humsaidia mtu kuelewa kitu au jambo liliopo. Huweza kutambua kitu kwa kukishika, kukisia, kufikiria au kudhani. Lakini kwa vile milango hiyo ni mingi, binadamu anao uwezo wa kugusa, kuonja, kunusa au kusikia. Hata hivyo, mwanadamu huweza kumghilibu binadamu mwingine au kumdanganya kwa kutumia milango hiyo ya utambuzi na hatimaye kumpotosha. Upo uwezo wa kudanganya macho ili yaone mambo kinyume...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
BVR zawasili Dar.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Julius-7April2015.jpg)
Hatimaye mashine 248 za kisasa za kuandikisha wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa elektroniki wa Biometric Voters Registration (BVR) zimewasili nchini, ili kuongeza kasi ya mwenendo wa mchakato huo, ambao umekuwa wa kusuasua.
Kusuasua kwa mchakato huo ulioanza mkoani Njombe, Februari 23, mwaka huu kabla ya kusimama, kunatokana na mashine 250 za awali za kuandikisha wapigakura zilizokuwa...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
BVR zakera Dar
MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.
Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaifIncoRODgz0OkWCA*gWxCFwZpW1hFr*vkFDH8CP0Xz2d7Gd6koOcTiYQoYNli0heXdkKFJFcIRiVDQAzX5LcC/BACKAMANI.jpg?width=650)
FAMILIA YAKUMBWA NA MAUZAUZA