BVR zawasili Dar.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Julius Mallaba.
Hatimaye mashine 248 za kisasa za kuandikisha wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa elektroniki wa Biometric Voters Registration (BVR) zimewasili nchini, ili kuongeza kasi ya mwenendo wa mchakato huo, ambao umekuwa wa kusuasua.
Kusuasua kwa mchakato huo ulioanza mkoani Njombe, Februari 23, mwaka huu kabla ya kusimama, kunatokana na mashine 250 za awali za kuandikisha wapigakura zilizokuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 May
Mashine 1,600 zaidi za BVR zawasili nchini
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa
Vifaa vya upigaji kura vikiwasili ofisi ya tume ya uchaguzi visiwani Zanzibar iliyopo Chake Chake Pemba chini ya ulinzi wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) tarehe 17/10/2015 Mvutano umejitokea wapi vifaa hivyo vitahifadhiwa hadi sasa
The post Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
BVR zakera Dar
MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.
Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.-Wananchi-wakiwa-kwenye-kituo-cha-kupiga-kura-cha-Kalenga-A.jpg)
ZOEZI LA BVR NI BALAA DAR
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Uandikishaji BVR Dar majanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0J90nUw6sQcGnTPry9rtXHoQPmYnBRTFhhGeHgX4O*nezPbP9DGjQDmmhrh3E-dFKZuI-J9bnClqF086qcOBzel/BVRDar.gif?width=650)
BVR DAR, SASA NI MATESO
10 years ago
Vijimambo23 Jul
Mauzauza ya BVR yahamia Dar
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mwananchi.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2803574%2FhighRes%2F1069147%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2F12choasz%2F-%2Fpic%2BBvr.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar
10 years ago
Daily News27 Jul
Dar residents satisfied with BVR exercise
Daily News
DAR ES SALAAM residents have expressed satisfaction with Biometric Voter Registration (BVR) exercise following the increase of kits which has enabled registration officers to enroll many people compared to previous days. survey carried out by the ...