Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BVR zakera Dar

MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.

Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BVR zawasili Dar.

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Julius Mallaba.
Hatimaye mashine 248 za kisasa za kuandikisha wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa elektroniki wa Biometric Voters Registration (BVR) zimewasili nchini, ili kuongeza kasi ya mwenendo wa mchakato huo, ambao umekuwa wa kusuasua.

Kusuasua kwa mchakato huo ulioanza mkoani Njombe, Februari 23, mwaka huu kabla ya kusimama, kunatokana na mashine 250 za awali za kuandikisha wapigakura zilizokuwa...

 

10 years ago

GPL

BVR DAR, SASA NI MATESO

NA SHANI RAMADHANI WAKATI zoezi la uandikishaji kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa kielekrtioniki uitwao Biometric Voters Registration (BVR), jijini Dar es Salaam ukiendelea, mengi yameibuka kwenye baadhi ya vituo vya uandikishaji na kuwafanya wananchi wengi kukata tamaa wakidai kuwa zoezi hilo kwao sasa ni mateso.. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DKMZw2 ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mauzauza ya BVR yahamia Dar

Fundi wa mashine za Biometric Voters Registration (BVR) zinazotumika kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura, Neema Mbwambo akiirekebisha moja ya mashine hizo katika kituo kilichopo Shule ya Sekondari ya Zawadi, Tabata Dar es Salaam jana. Picha na Venance Nestory

By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar majanga

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itatakiwa kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha inatimiza mipango yake kuelekea katika Uchaguzi Mkuu kutokana na ugumu unaoweza kutokea katika kukamilisha uandikishaji wapigakura katika jiji la Dar es Salaam na ugawaji wa mipaka ya majimbo nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar

Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR unaoendelea katika kata tatu za Jiji la Dar es Salaam umeanza kusuasua kutokana na matatizo ya watendaji na mashine zinazotumika kwenye uandikishaji huo.

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA BVR NI BALAA DAR

Haruni Sanchawa, Dar Zoezi la uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mashine za Biometric Voters Registration (BVR) lililoanza juzi jijini Dar es Salam, limekuwa ni balaa kwa wakazi wake kutokana na matatizo mengi yaliyojitokeza hivyo kusababisha adha kwa wananchi. Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu juzi na jana katika vituo mbalimbali vya uandikishaji jijini Dar, umebaini kasoro nyingi ambazo...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR Dar kuanza kesho

>Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia Biometric Voters Registration (BVR) Dar es Salaam, unaanza rasmi kesho, huku mashine zaidi ya 4,000 zikitarajia kutumika kukamilisha kazi hiyo katika vituo 1,700.

 

10 years ago

GPL

UANDIKISHAJI BVR DAR WATAWALIWA NA CHANGAMOTO

Mwandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura (katikati) akisoma jina la mwananchi aliyehitajika kwenda kujiandikisha. Wananchi wakisubiri kujiandikisha eneo la kituo cha Kijitonyama-Mpakani B. …

 

10 years ago

Mwananchi

Muda wa uandikishaji BVR Dar waongezwa

Tume ya Uchaguzi (NEC) leo imetangaza kuongeza siku nne zaidi za uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia teknolojia ya BVR baada ya idadi kubwa ya wakazi wa Dar es Salaam kuitikia wito wa zoezi hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani