Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BVR DAR, SASA NI MATESO

NA SHANI RAMADHANI WAKATI zoezi la uandikishaji kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa kielekrtioniki uitwao Biometric Voters Registration (BVR), jijini Dar es Salaam ukiendelea, mengi yameibuka kwenye baadhi ya vituo vya uandikishaji na kuwafanya wananchi wengi kukata tamaa wakidai kuwa zoezi hilo kwao sasa ni mateso.. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DKMZw2 ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ALIYETAFUNWA ALIYETAFUNWA USO NA BABA YAKE SASA NI MATESO

Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’
SUSULUKA Imani Paul, kijana mwenye umri wa miaka 18, ambaye Novemba mwaka jana alikutana na unyama wa aina yake, baada ya kutafunwa sehemu kubwa ya uso wake maeneo ya mdomoni, analia kutokana na mateso makubwa yanayotokana na maumivu ya mwili pamoja na ukosefu wa fedha za matibabu na mahitaji. Susuluka, mkazi wa Kijiji cha Nyabibuye Kakongo, wilayani Kibondo mkoani Kigoma,...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandikishaji BVR umemalizika, NEC sasa ijipange upya

Mchakato wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura unamalizika leo jijini Dar es Salaam, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuongeza muda kutokana na wananchi wengi waliotaka kujiandikisha kuendelea kufurika katika vituo mbalimbali jijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mateso kwa bodaboda Dar hadi lini?

OPERESHENI ya kukamata pikipiki zinazoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam iliyoanzishwa zaidi ya miezi miwili iliyopita, imepokewa kwa mtazamo tofauti na wananchi hususani vijana wanaozitumia kwa kufanya biashara...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Didas Fashion, Khadija Ayoub Seif, (Wa pili toka Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelezea uzinduzi wa Filamu ya Mateso Ughaibuni inayotarajiwa kuzinduliwa siku ya Alhamis Septemba 4, 2014 katika viwanja vya Leadrs Club. Pembeni yake ni Rais Wa Bongo Movie Steve Nyerere na wasanii wengine.

Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

 

11 years ago

GPL

MATESO JUU YA MATESO

Stori: Erick Evarist na Mitandao Dunia haina huruma! Meriam Ibrahim, raia wa Sudan aliyetakiwa kuhukumiwa adhabu ya kifo kufuatia kuolewa na mwanaume Mkristo, Daniel Wani, raia wa  Marekani, amezidi kuteseka baada ya kuachiwa huru kisha kudaiwa kukamatwa tena hivyo kumuongezea mateso juu ya mateso. Meriam Ibrahim, raia wa Sudan akiwa na mume wake (Daniel Wani ) ambaye ni mkristo.
Mwanamke huyo aliachiwa huru Jumatatu...

 

10 years ago

Raia Tanzania

BVR zakera Dar

MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.

Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...

 

10 years ago

Vijimambo

BVR zawasili Dar.

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Julius Mallaba.
Hatimaye mashine 248 za kisasa za kuandikisha wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa elektroniki wa Biometric Voters Registration (BVR) zimewasili nchini, ili kuongeza kasi ya mwenendo wa mchakato huo, ambao umekuwa wa kusuasua.

Kusuasua kwa mchakato huo ulioanza mkoani Njombe, Februari 23, mwaka huu kabla ya kusimama, kunatokana na mashine 250 za awali za kuandikisha wapigakura zilizokuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar

Uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR unaoendelea katika kata tatu za Jiji la Dar es Salaam umeanza kusuasua kutokana na matatizo ya watendaji na mashine zinazotumika kwenye uandikishaji huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani