BVR DAR, SASA NI MATESO
![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0J90nUw6sQcGnTPry9rtXHoQPmYnBRTFhhGeHgX4O*nezPbP9DGjQDmmhrh3E-dFKZuI-J9bnClqF086qcOBzel/BVRDar.gif?width=650)
NA SHANI RAMADHANI WAKATI zoezi la uandikishaji kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mfumo wa kielekrtioniki uitwao Biometric Voters Registration (BVR), jijini Dar es Salaam ukiendelea, mengi yameibuka kwenye baadhi ya vituo vya uandikishaji na kuwafanya wananchi wengi kukata tamaa wakidai kuwa zoezi hilo kwao sasa ni mateso.. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DKMZw2 ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9ASrUxE7FAXK2hP8udN-rE*6-5V5-1fYLVqg2W7WwoL8DRDwLdXEhPDViBMQAJg3HBJY3WwG7Is2ylU1tHpiQDI/mateso.jpg?width=650)
ALIYETAFUNWA ALIYETAFUNWA USO NA BABA YAKE SASA NI MATESO
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Uandikishaji BVR umemalizika, NEC sasa ijipange upya
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Mateso kwa bodaboda Dar hadi lini?
OPERESHENI ya kukamata pikipiki zinazoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam iliyoanzishwa zaidi ya miezi miwili iliyopita, imepokewa kwa mtazamo tofauti na wananchi hususani vijana wanaozitumia kwa kufanya biashara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s72-c/IMG_5525.jpg)
FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s1600/IMG_5525.jpg)
Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.
Na MatukiodaimaBlog, Ludewa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6r1KKFQeXTJkOfyg-P7SysKOmPFGRNGWOXVnj4QCZ4OVnuxHeVDm8stANYP*cyFlioGAxvtu0wKR5LwDhoz*pME/MSUDANI.jpg)
MATESO JUU YA MATESO
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
BVR zakera Dar
MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.
Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
BVR zawasili Dar.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Julius-7April2015.jpg)
Hatimaye mashine 248 za kisasa za kuandikisha wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mfumo wa elektroniki wa Biometric Voters Registration (BVR) zimewasili nchini, ili kuongeza kasi ya mwenendo wa mchakato huo, ambao umekuwa wa kusuasua.
Kusuasua kwa mchakato huo ulioanza mkoani Njombe, Februari 23, mwaka huu kabla ya kusimama, kunatokana na mashine 250 za awali za kuandikisha wapigakura zilizokuwa...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
BVR ‘zachemsha’ uandikishaji Dar