ZOEZI LA BVR NI BALAA DAR
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.-Wananchi-wakiwa-kwenye-kituo-cha-kupiga-kura-cha-Kalenga-A.jpg)
Haruni Sanchawa, Dar Zoezi la uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mashine za Biometric Voters Registration (BVR) lililoanza juzi jijini Dar es Salam, limekuwa ni balaa kwa wakazi wake kutokana na matatizo mengi yaliyojitokeza hivyo kusababisha adha kwa wananchi. Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu juzi na jana katika vituo mbalimbali vya uandikishaji jijini Dar, umebaini kasoro nyingi ambazo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboZOEZI LA UANDIKISHA WAPIGA KURA KIELEKTRONIKI (BVR), KWA MAJARIBIO LAANZA DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s72-c/tume3.jpeg)
NEC YAKUTANA NA UONGOZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM KUTATHIMINI ZOEZI ZIMA LA UANDIKISHWAJI BVR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UEkwUCV3D10/Vbjg2UETaLI/AAAAAAAABLM/jMU7BilsIuE/s640/tume3.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_hJliOxE69Y/Vbjg2tttTqI/AAAAAAAABLU/yzkxay8yh24/s640/tume4.jpeg)
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zoezi la Uandikishaji kwa BVR lisitishwe
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Wananchi wa mkoa wa Njombe ni mfano wa kuigwa katika zoezi la BVR
Kazi ya kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometrick Voters Registration (BVR), ambao huhusisha uchukuaji wa alama za vidole na picha, jana iliingia siku ya tatu, huku baadhi yao wakipongeza utendaji wake.
Kwa mujibu wa ripoti iliyokusanywa na mwandishi wetu inasema kuwa tokea siku ya kwanza lilipoanza zoezi hilo lilionyesha matumaini maana wananchi wetu walijitokeza kwa wingi.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi katika vituo vya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
10 years ago
MichuziMrembo Miss Tanzania aongoza wakazi wa dar katika zoezi la uchangiaji damu jijini dar leo
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-q5J32OeI6fg/VitH9Wlaa-I/AAAAAAAAV8c/r5zdeAWiqSw/s72-c/G03A3345%2B%25281280x853%2529.jpg)
ASKARI POLISI KILIMANJARO WAFANYA ZOEZI KUJIANDAA NA ZOEZI LA UCHAGUZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-q5J32OeI6fg/VitH9Wlaa-I/AAAAAAAAV8c/r5zdeAWiqSw/s640/G03A3345%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IH4ZYlYI7V0/VitH-498VkI/AAAAAAAAV8s/RT9gqbhjg5I/s640/G03A3347%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R5e5mVAYWxM/VitH-MgFLFI/AAAAAAAAV8g/pYIOwOrZbCk/s640/G03A3349%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-M22aMc3QX-o/VitIBVnVxvI/AAAAAAAAV80/5nvYEE7aFdg/s640/G03A3351%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bbxUjQ1nM5c/VitIDESrXOI/AAAAAAAAV88/i8bfgnmtRL4/s640/G03A3361%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OzSKXC1sznI/VitIEc6EWiI/AAAAAAAAV9E/1lfd4Lub1s0/s640/G03A3371%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPawvgZKPAs/VitIFvY8G9I/AAAAAAAAV9M/YdtssaWsQj4/s640/G03A3372%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-35qGMkteVyA/VitIHvDDUdI/AAAAAAAAV9U/2wbUaA6jEVc/s640/G03A3375%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WYB_pn6GKPk/VitIJRPX3kI/AAAAAAAAV9c/FlFEqzstlpM/s640/G03A3376%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qTdntqFAWRg/VitIKTTIAsI/AAAAAAAAV9k/ulA-VYvmxYE/s640/G03A3378%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHA8zfk_LbI/VitINt3vzaI/AAAAAAAAV9w/J2LESAKkYJw/s640/G03A3380%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N7iX7sxlK8A/VitIM2ImttI/AAAAAAAAV9s/lhnQKVdU7oI/s640/G03A3381%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t8rBAn7DnQ0/VitIPTJKZNI/AAAAAAAAV98/zLp9j9VxcII/s640/G03A3386%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tii5E0LFDOc/VitIQVNpREI/AAAAAAAAV-E/i9xP8qQV1TU/s640/G03A3388%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6WrCEcvaTI/VitISGd84gI/AAAAAAAAV-M/oR3c3HRW1B0/s640/G03A3389%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9cxlpNWPje4/VitITnuC7TI/AAAAAAAAV-U/IxKUyIVv-58/s640/G03A3396%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo10 May
Mvua yazidi kuleta balaa Dar, Tanga
IDADI ya watu waliokufa katika mafuriko yaliyotokea Dar es Salaam Jumatano na Alhamisi wiki iliyopita, baada ya mvua kubwa kunyesha, imeongezeka na kufikia watu 10.
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
BVR zakera Dar
MCHAKATO wa uandikishaji wapiga kura kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) ulioanza jana jijini Dar er Salaam, umeonekana kusuasua huku baadhi ya vituo kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na vifaa kuharibika au kuchelewa kufika, anaripoti CHRISTINA MWAGALA, Dar.
Raia Tanzania jana lilitembelea vituo kadhaa jijini hapa ambapo katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, Mabibo wilayani Kinondoni, kati ya mashine nane zilizokuwapo, ni nne tu zilizokuwa zikifanya kazi baada ya nyingine...