Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yazidi kuleta balaa Dar, Tanga

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiIDADI ya watu waliokufa katika mafuriko yaliyotokea Dar es Salaam Jumatano na Alhamisi wiki iliyopita, baada ya mvua kubwa kunyesha, imeongezeka na kufikia watu 10.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mvua zaleta madhara kwenye reli ya Dar-Tanga-MOshi

Sehemu ya njia ya reli katika eneo la Ming’ongo ikiwa inaning’inia baada ya tuta kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Kipalo Amani Kisamfu pamoja na wakurugenzi kutoka Wizara ya Uchukuzi wametembelea eneo hilo leo mchana kuona athari kubwa iliyotokea kwenye njia ya reli. Aidha, katika njia hiyo kilomita kumi na nane za njia ya reli zimeaharibiwa na mvua hizo...

 

5 years ago

Michuzi

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZAENDELEA KULETA ATHARI

Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta athari mbalimbali ikiwemo kuvunja Daraja la Barabara ya Mtoni katika eneo la Vibandani ambalo limevunjika mapema ya Leo March 9 Majira ya Asubuhi.

 

9 years ago

Vijimambo

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DMV ZAANZA KULETA MADHARA

Mvua zinazoendelea kunyesha siku ya pili mfululizo DMV zimeanza kuleta madhara kama unaovyo kwenye picha gari dogo aina ya Nissan ikiwa imeangukiwa na mti lilipokua limeegeshwa katika barabara ya 23 NW Washington, DC. Picha na Eliud Mbowe

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua zatarajiwa kuleta neema ya mavuno kwa nchi za Afrika Mashariki

Uzalishaji wa chakula Ukanda wa Nchi za Afrika Mashariki, unatarajiwa kuongezeka msimu wa kilimo wa 2014/2015, hivyo kupunguza soko la mazao ya chakula yanayozalishwa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yazua balaa Buguruni, watu 1,163 hawana mahali pa kuishi

Zaidi ya wakazi 1,163 wa eneo la Buguruni kwa Mnyamani hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 517 kukumbwa na mafuriko.

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu barabara Tanga

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini imesababisha kusombwa daraja, kuharibu barabara na kuzolewa nyumba katika Wilaya tatu za Mkoa wa Tanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Mvua yaleta maafa Tanga, yanyesha kwa saa nne mfululizo

Mvua zilizonyesha kwa saa nne mfululizo  jijini Tanga zimesababisha kuongezeka kwa maeneo yaliyoathirika na mafuriko huku baadhi ya nyumba zikibomoka na idadi ya waliolazimika kuhama makazi ikiongezeka.

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA BVR NI BALAA DAR

Haruni Sanchawa, Dar Zoezi la uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mashine za Biometric Voters Registration (BVR) lililoanza juzi jijini Dar es Salam, limekuwa ni balaa kwa wakazi wake kutokana na matatizo mengi yaliyojitokeza hivyo kusababisha adha kwa wananchi. Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu juzi na jana katika vituo mbalimbali vya uandikishaji jijini Dar, umebaini kasoro nyingi ambazo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani