ASKARI POLISI KILIMANJARO WAFANYA ZOEZI KUJIANDAA NA ZOEZI LA UCHAGUZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-q5J32OeI6fg/VitH9Wlaa-I/AAAAAAAAV8c/r5zdeAWiqSw/s72-c/G03A3345%2B%25281280x853%2529.jpg)
Baadhi ya viongozi wa ngazi ya Juu Katika jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika maandalizi ya mazoezi.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro.Fulgence Ngonyani akipokea taarifa fupi toka kwa kiongozi wa kikosi cha kutuliza ghasia.
Askari Polisi wa vikosi mbalimbali vya jeshi hilo mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika zoezi maalum.
RPC Ngonyani akiongoza matembezi ya askari Polisi ikiwa ni sehemu ya mazoezi.
Kikosi cha kutuliza Ghasia ,FFU.
Matembezi yakiendelea kupita maeneo mbalimbali ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziASKARI CHUO CHA POLISI MOSHI WAFANYA UTALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aUouuiz75bo/UvH_Z9GGGFI/AAAAAAAFK88/0RkS-2GqjGQ/s72-c/unnamed+(31).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU KUANZA KUFANYA ZOEZI LA KUJIANDAA NA MAAFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aUouuiz75bo/UvH_Z9GGGFI/AAAAAAAFK88/0RkS-2GqjGQ/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--F4vMGbTgw8/UvH_caGzmOI/AAAAAAAFK9E/AnHQA6ZjaS0/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xxzamvlpIMs/UvH_d46FkhI/AAAAAAAFK9M/8PFdLk1Xd34/s1600/unnamed+(33).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_RprASZHN6Q/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Waangalizi, wasimamizi wadai zoezi la uchaguzi lilienda vizuri Unguja
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s72-c/image061.jpg)
TAMKO LA POLISI KUHUSU ZOEZI LA KUAPISHWA KWA WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s1600/image061.jpg)
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kihalifu kwa kufanya fujo na vitendo vya vurugu ikiwemo kuwapiga baadhi ya watendaji wanaosimamia zoezi la kuapisha na kuwapiga viongozi wateule...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TPRePmoCsTs/VIs9_r1fH4I/AAAAAAAG2yQ/8q7cHGu-2Dw/s72-c/NEC_BANNER2.gif)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU USHIRIKI WA WANAJESHI kWENYE ZOEZI HILO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TPRePmoCsTs/VIs9_r1fH4I/AAAAAAAG2yQ/8q7cHGu-2Dw/s1600/NEC_BANNER2.gif)
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Tume inasema kutakuwepo na wanajeshi 6 wa Jeshi la Wananchi katika kila kituo ambao kazi yao ni kusaidia shughuli za lojistiki kama vile kuhamisha vifaa kutoka kata moja kwenda nyingine.
Pia wanajeshi hao watasaidia katika shughuli za kufanya matengenezo madogo madogo ya vifaa yanayoweza kujitokeza wakati wa zoezi la...
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Tume ya Uchaguzi ‘NEC’ yaombwa zoezi la upigaji kura lianze saa 12:00 Asubuhi Shinyanga
Baadhi ya waandishi wa habari 25 kutoka mikoa ya Singida, Katavi, Kigoma na Shinyanga,waliohudhuria mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Vigimark hotel nje kidogo ya mji wa Shinyanga. Mafunzo hayo ya siku tano, yaliratibiwa na Baraza la habari (MCT) na kufadhiliwa na BBC Media Action .Wa tatu kulia waliosimama, ni mwandishi wa habari wa Modewji blog, Singida, Bw. Nathaniel Limu.
Baadhi ya barabara ndani ya manispaa ya Shinyanga.(Picha na...
10 years ago
Vijimambo04 Oct
ZOEZI LA UTOAJI KADI LA ENDELEA CCM NEW YORK KUELEKEA KWENYE UCHAGUZI TAREHE 11 MWEZI HUU