Ndanda yahamia Dar kusaka makali
NDANDA FC ya Mtwara, moja ya timu ngeni katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo kuanza kambi itakayowapa makali ya kuhimili kishindo cha ligi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Yanga SC kusaka makali Ulaya
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Yanga kusaka makali Barcelona
KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, imepanga kuipeleka timu nchini Hispania kujifua kwa raundi ya pili ya Ligi Kuu itakayoanza Januari 22 na Ligi ya Mabingwa Afrika...
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Ame Ali kusaka makali Chalenji
NA ZAINAB IDDY
MSHAMBULIAJI wa timu ya Azam FC, Ame Ali ‘Zungu’, amesema ana imani kubwa na michuano ya Kombe la Chalenji yanayofanyika nchini Ethiopia kuanzia leo yatamrudisha kiwango chake.
Ame amejiunga na Azam katika usajili wa msimu huu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro, baada ya kuonyesha umahiri wa kufumania nyavu msimu uliopita akiwa amefunga mabao tisa.
Tangu kujiunga kwake na Azam ameonekana kupotea katika ramani ya soka baada ya kukosa nafasi katika...
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Stars yaenda Afrika Kusini kusaka makali
![Timu ya Taifa, Taifa Stars](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/taifa-stars.jpg)
Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeondoka jana kuelekea Afrika Kusini kujiandaa na mchezo wake wa marudiano dhidi ya Msumbiji, utakaochezwa Agosti 3 katika Uwanja wa Zimpeto, mjini Maputo.
Stars imeondoka huku ikiahidi ushindi kwa Watanzania katika mchezo huo wa kusaka kucheza hatua ya makundi ya michuano ya Afrika, itakayofanyika mwakani nchini Morocco.
Awali Stars ilitoka sare ya 2-2 na Msumbiji katika mchezo wake wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
10 years ago
Vijimambo23 Jul
Mauzauza ya BVR yahamia Dar
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mwananchi.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2803574%2FhighRes%2F1069147%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2F12choasz%2F-%2Fpic%2BBvr.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Kasoro za uandikishaji wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura zilizokuwa zikitokea katika mikoa mbalimbali nchini, zimejitokeza pia jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Kesi kupinga Bunge la Katiba yahamia Dar
10 years ago
Michuzi23 May
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s72-c/MMGL0288.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI DAR, AKOMBA UDHAMINI WA WANACCM 212, 150
![](http://3.bp.blogspot.com/-NnqFSpGuHMY/VY69maCz_HI/AAAAAAAHkfU/2xQke3F9Azo/s640/MMGL0288.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iY7vB1Zowsw/VY69pCNZwTI/AAAAAAAHkfg/Kg7nre7entE/s640/MMGL0326.jpg)