Ame Ali kusaka makali Chalenji
NA ZAINAB IDDY
MSHAMBULIAJI wa timu ya Azam FC, Ame Ali ‘Zungu’, amesema ana imani kubwa na michuano ya Kombe la Chalenji yanayofanyika nchini Ethiopia kuanzia leo yatamrudisha kiwango chake.
Ame amejiunga na Azam katika usajili wa msimu huu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro, baada ya kuonyesha umahiri wa kufumania nyavu msimu uliopita akiwa amefunga mabao tisa.
Tangu kujiunga kwake na Azam ameonekana kupotea katika ramani ya soka baada ya kukosa nafasi katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Yanga SC kusaka makali Ulaya
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Yanga kusaka makali Barcelona
KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, imepanga kuipeleka timu nchini Hispania kujifua kwa raundi ya pili ya Ligi Kuu itakayoanza Januari 22 na Ligi ya Mabingwa Afrika...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Ndanda yahamia Dar kusaka makali
NDANDA FC ya Mtwara, moja ya timu ngeni katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo kuanza kambi itakayowapa makali ya kuhimili kishindo cha ligi...
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Stars yaenda Afrika Kusini kusaka makali
![Timu ya Taifa, Taifa Stars](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/taifa-stars.jpg)
Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imeondoka jana kuelekea Afrika Kusini kujiandaa na mchezo wake wa marudiano dhidi ya Msumbiji, utakaochezwa Agosti 3 katika Uwanja wa Zimpeto, mjini Maputo.
Stars imeondoka huku ikiahidi ushindi kwa Watanzania katika mchezo huo wa kusaka kucheza hatua ya makundi ya michuano ya Afrika, itakayofanyika mwakani nchini Morocco.
Awali Stars ilitoka sare ya 2-2 na Msumbiji katika mchezo wake wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Azam kuanza kusaka makali ya Ligi Kuu Jumatatu
KIKOSI cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, kinatarajiwa kuanza mazoezi kesho kuelekea msimu ujao ambapo itakuwa ikitetea taji hilo na kuiwakilisha nchi katika Ligi ya Mabingwa Afrika....
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
JE Kajala Ame-Break The Internet Kwa Picha Hizi?!!!
Leo ikiwa ni siku ya mapumziko, tusherekea miaka 53 ya uhuru wa Tanganyika ambayo iliungana na Zanzibar na sasa inaitwa Tanzania, akionekana mwenye furaha kwa tabasamu na pozi mbalimbali maeneo ya ufukweni , Kajala Masanja ambae ni muigizaji na mkurugenzi wa K entertainments, aliziweka picha zake hizi mtandaoni na kuandika “Wee unaniona hapa me najiona mbaaaaali” akiashilia kuwa mwenye furaha na amani tele.
Kilichofanya nizilete hapa ni likes na comments za ‘Followers’ wake ambao kwa kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s72-c/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU WA NEC WA CCM, PEREIRA AME SILIMA AJITOSA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ametimiza idadi ya wagombea 27
![](https://1.bp.blogspot.com/-UaE95u-suxY/XvRutXTqCuI/AAAAAAAAWxQ/Nwo5q8wIjBsivLheNnzmyNcSBl4Zo_YdwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
CloudsFM14 Jan
MTU ASIYEFAHAMIKA AME’HACK’ NAMBA YA SIMU YA FID Q NA KUWATAPELI WATU PESA
Hivi karibuni zimeenea habari za mastaa wa Kibongo namba zao za simu kuwa ‘hacked’ tukio hilo lilishamkuta msanii Snura,ambapo kwa saa zisizozidi 48 tayari mastaa wawili wa Bongo Fleva namba zao zimekua hacked,ambao ni Ambwene Yesaya ‘AY’ na Fareed Kubanda ‘Fid Q’.
Mtu huyo asiyefahamika alihack namba ya simu ya FID Q na kuwapigia watu wake wa karibu msanii huyo na kuwakopa hela.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0932qYtfbZo/Vcb4CO4QmXI/AAAAAAAAS_c/lp6nlgYwEvE/s72-c/DSCF6108%2B%25281280x960%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,PEREIRA AME SILIMA AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI POLISI NA UHAMIAJ
![](http://3.bp.blogspot.com/-0932qYtfbZo/Vcb4CO4QmXI/AAAAAAAAS_c/lp6nlgYwEvE/s640/DSCF6108%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EvERB74X3vI/Vcb30JkArhI/AAAAAAAAS-o/BVXHz94mDi0/s640/DSCF6063%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QG3gOY3X2e4/Vcb4CTCsJcI/AAAAAAAAS_g/q1BgD69sSKs/s640/DSCF6087%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR87gAt4HP0/Vcb36WjOYUI/AAAAAAAAS_M/bUWkyPS3PNM/s640/DSCF6077%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WbGmJsgL95Y/Vcb4BeY8h1I/AAAAAAAAS_Y/KPW6a_GRMOE/s640/DSCF6083%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3M9X0BdKwkk/Vcb30EfUBwI/AAAAAAAAS-s/dpwMgQJgG3I/s640/DSCF6064%2B%25281280x960%2529.jpg)