Mgomo Tazara wazidi kuleta madhara
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameendelea na mgomo wao wa kushinikiza kulipwa kwa mishahara yao ya miezi mitano na kusikilizwa madai yao, hali iliyolazimu uongozi wa mamlaka hiyo kurudisha nauli kwa abiria waliokuwa wasafiri na treni jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RlYZGGYpsYw/Vg7O-iG7xuI/AAAAAAAD_Os/4IFQC5aiIp8/s72-c/275e7c3c216fa7c34b9f083b6d227308.jpg)
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA DMV ZAANZA KULETA MADHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RlYZGGYpsYw/Vg7O-iG7xuI/AAAAAAAD_Os/4IFQC5aiIp8/s640/275e7c3c216fa7c34b9f083b6d227308.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo
11 years ago
Mwananchi14 May
Mgomo wakwamisha abiria Tazara
11 years ago
Habarileo20 May
Mgomo wa Tazara uko palepale
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wamesisitiza msimamo wao wa kuendelea kugoma kutoa huduma, hadi hapo watakapohakikishiwa kwamba malimbikizo ya mishahara yao yatalipwa na malipo ya miezi ijayo, yatafanyika.
11 years ago
Mwananchi16 May
Mgomo Tazara waingia bungeni
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Abiria wahangaika mgomo wa Tazara ukianza
11 years ago
Habarileo16 May
Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.
10 years ago
CloudsFM01 Dec
MTI MKUBWA WAANGUKA MCHANA HUU NA KULETA MADHARA MAENEO YA SEA VIEW,UPANGA
Mti mkubwa waanguka mchana wa leo na kuleta madhara maeneo ya Sea View,Upanga,jijini Dar. Chanzo cha kuanguka kwa mti huo ni kutokana na ukongwe wa mti huo.
Source: Michuzi
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR