Thea Atetea Chipukizi
Ndumbangwe Misayo ‘THEA’ ametaka wasanii chipukizi wathaminiwe katika fani hiyo kwani wana umuhimu wao katika utengenezaji wa Filamu pia.
Akizungumza na safu hii katikati ya wiki, Thea alisema kila msanii ana thamani yake kutokana na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe kulingana na kazi zao badala ya kuwawekea vizuizi vinavyokwamisha maendeleo ya vipaji vyao .
"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu na wasanii ambao ...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies16 Nov
Thea: Nikijichubua Nisulubiwe
IMEKAA poa sana! Mkongwe kwenye anga la sinema za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ amekula kiapo cha aina yake kwamba siku akionekana amejichubua na kuondoa rangi yangi yake nyeusi ya asili, asulubiwe mchana kweupe.
Thea aliliambia gazeti hili kuwa hakuna kitu anachopenda kwenye mwili wake kama ngozi yake na hata siku moja hajawahi kupata ushawishi wowote wa kuharibu ngozi yake na anawaonea huruma mastaa waliotumia mkorogo.
“Nasema kabisa kutoka moyoni, kama kweli itatokea siku nikajichubua,...
10 years ago
GPL
THEA: NIMEEPUKA MAJUNGU!
11 years ago
GPL
USICHOKIJUA KUHUSU THEA
11 years ago
GPL
THEA, MIKE WARUDIANA
9 years ago
GPL
THEA:NIKIJICHUBUA NISULUBIWE
10 years ago
GPL
THEA ABARIKI MUMEWE KUOA
10 years ago
GPL
THEA APATA MWANAUME WA KUMLEA
11 years ago
GPL
VANITHA, THEA WACHAMBANA MSIBANI
10 years ago
GPL
THEA: NIMESAHAU KAMA NILIOLEWA!