Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THEA: NIMESAHAU KAMA NILIOLEWA!

Imelda Mtema Duh! Mwigizaji wa kitambo katika tasnia ya sinema za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ ametoa kali ya mwaka baada ya kudai kuwa alishasahau kama aliwahi kuolewa na kuvaa shela kanisani. Mwigizaji wa kitambo katika tasnia ya sinema za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Thea aliweka wazi kwamba, kuna kipindi huwa anasahau kama aliwahi kuolewa na hii inatokana na mapenzi aliyokuwa nayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Niliolewa na Mganga kwa Tamaa ya Cheo

ILIPOISHIA:

“Kwani unaniona nafanya nini?” Rose alimjibu kwa mkato huku akimtengeneza mtoto aliyekuwa mgongoni.

SASA ENDELEA…

“Na…na…na huyu si…si…si shoga yako nani kweli?”

“Eflazia,” nilimjibu nikiwa nambembeleza mwanangu aliyekuwa anataka kulala.

“Jamani hii si kawaida kuna kitu, watoto wazuri kama ninyi kuja kwa kibabu hiki si bure lazima kuna kitu,” mama Sabuni alilalamika kwa sauti ya huzuni nilimsikia lakini sikumuelewa.

“Bibi eeh fuata kilichokuleta ya huku mengine  hayakuhusu,” Rose...

 

11 years ago

GPL

MKE: NILIOLEWA ILI NIAMBUKIZWE UKIMWI

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
UKISIKIA simulizi ya Hafsa Ramadhani (19) itakutia simanzi, itakutesa moyo na kukutoa machozi, huwezi kuamini aliingia kwenye ndoa bila kujua kuwa alikuwa akienda kukutana na ugonjwa wa ukimwi, Risasi Mchanganyiko linakufunulia. Hafsa Ramadhani. Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika zinasema, binti huyo alifanyiwa mipango ya ndoa bila yeye na mumewe huyo kupima kwanza maambukizi...

 

9 years ago

Global Publishers

Niliolewa na mganga kwa tamaa ya cheo kazini-44

ILIPOISHIA:
Niliingia ndani na kujitupa kitandani, pamoja ilikuwa burudani lakini iliniacha hoi. Niliamka saa sita za usiku nikiwa na njaa kali. Nilipata chakula kisha nilioga na kurudi kitandani, kutokana na uchovu nilipogusa kitandani usingizi mzito ulinichukua.
Huwezi kuamini usiku mzima njozi zote zilikuwa kwa babu Sionjwi mpaka kunakucha.
SASA ENDELEA..

Niliposhtuka kitandani na kujikuta peke yangu nilijikuta nikiingia unyonge na kujilaumu kumrudisha mapema heri ningeachana naye jioni...

 

9 years ago

Global Publishers

Niliolewa na mganga kwa tamaa ya cheo kazini-46

ILIPOISHIA:
Katika miaka tisa ambayo niliondoka nyumbani nilishukuru Mungu familia yangu niliikuta ipo katika hali nzuri japokuwa nilikuwa nimempoteza baba yangu kipenzi miaka mitatu iliyokuwa imepita. Nyumba yangu aliyokuwa akiisimamia mama ilikuwa imeisha wakati huo ilikuwa imepangishwa kwa kampuni moja.

Kwa kweli kila nilivyofikiria dhamira yangu na sehemu niliyoangukia muda mwingi nilikuwa nikilia huku nikiwaangalia watoto wangu wadogo wasio na baba tena wenye afya dhaifu.SASA...

 

11 years ago

GPL

THEA, MIKE WARUDIANA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
WASANII wawili nyota wa filamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na Michael Sangu ambao awali walitengana kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi, hatimaye wamerudiana. Thea na Mike katika pozi. Kikizungumza na gazeti hili, chanzo makini kutoka ndani ya familia hiyo kilisema wanandoa hao wamerudiana baada ya kupatanishwa na viongozi wa dini na familia zao, wakitelekeza viapo vyao...

 

10 years ago

Bongo Movies

Thea Atetea Chipukizi

Ndumbangwe  Misayo  ‘THEA’ ametaka  wasanii  chipukizi  wathaminiwe  katika  fani  hiyo  kwani  wana umuhimu wao katika  utengenezaji wa Filamu pia.        

Akizungumza  na  safu  hii  katikati  ya  wiki,  Thea  alisema  kila msanii ana  thamani  yake  kutokana  na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe  kulingana na kazi zao  badala  ya  kuwawekea  vizuizi vinavyokwamisha  maendeleo  ya  vipaji  vyao .    

"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu  na  wasanii  ambao ...

 

10 years ago

GPL

USICHOKIJUA KUHUSU THEA

Makala: Gladness Mallya
Mpenzi msomaji wa safu hii ya Exclussive Interview baada ya kumaliza kusoma historia ya maisha ya msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma, leo tunakuletea msanii mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’.Thea amefunguka mengi kuhusiana na maisha yake ya sanaa, karibu uinjoi mahojiano: Msanii mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’. HISTORIA...

 

9 years ago

Bongo Movies

Thea: Nikijichubua Nisulubiwe

IMEKAA poa sana! Mkongwe kwenye anga la sinema za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ amekula kiapo cha aina yake kwamba siku akionekana amejichubua na kuondoa rangi yangi yake nyeusi ya asili, asulubiwe mchana kweupe.

Thea aliliambia gazeti hili kuwa hakuna kitu anachopenda kwenye mwili wake kama ngozi yake na hata siku moja hajawahi kupata ushawishi wowote wa kuharibu ngozi yake na anawaonea huruma mastaa waliotumia mkorogo.

“Nasema kabisa kutoka moyoni, kama kweli itatokea siku nikajichubua,...

 

9 years ago

GPL

THEA:NIKIJICHUBUA NISULUBIWE

Stori: Imelda Mtema IMEKAA poa sana! Mkongwe kwenye anga la sinema za Kibongo, Salome Urassa 'Thea' amekula kiapo cha aina yake kwamba siku akionekana amejichubua na kuondoa rangi yangi yake nyeusi ya asili, asulubiwe mchana kweupe. Mkongwe kwenye anga la sinema za Kibongo, Salome Urassa 'Thea'. Thea aliliambia gazeti hili kuwa hakuna kitu anachopenda kwenye mwili wake kama ngozi yake na hata siku moja hajawahi kupata ushawishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani