Niliolewa na mganga kwa tamaa ya cheo kazini-46
ILIPOISHIA:
Katika miaka tisa ambayo niliondoka nyumbani nilishukuru Mungu familia yangu niliikuta ipo katika hali nzuri japokuwa nilikuwa nimempoteza baba yangu kipenzi miaka mitatu iliyokuwa imepita. Nyumba yangu aliyokuwa akiisimamia mama ilikuwa imeisha wakati huo ilikuwa imepangishwa kwa kampuni moja.
Kwa kweli kila nilivyofikiria dhamira yangu na sehemu niliyoangukia muda mwingi nilikuwa nikilia huku nikiwaangalia watoto wangu wadogo wasio na baba tena wenye afya dhaifu.SASA...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Niliolewa na mganga kwa tamaa ya cheo kazini-44
ILIPOISHIA:
Niliingia ndani na kujitupa kitandani, pamoja ilikuwa burudani lakini iliniacha hoi. Niliamka saa sita za usiku nikiwa na njaa kali. Nilipata chakula kisha nilioga na kurudi kitandani, kutokana na uchovu nilipogusa kitandani usingizi mzito ulinichukua.
Huwezi kuamini usiku mzima njozi zote zilikuwa kwa babu Sionjwi mpaka kunakucha.
SASA ENDELEA..
Niliposhtuka kitandani na kujikuta peke yangu nilijikuta nikiingia unyonge na kujilaumu kumrudisha mapema heri ningeachana naye jioni...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Niliolewa na Mganga kwa Tamaa ya Cheo
ILIPOISHIA:
“Kwani unaniona nafanya nini?” Rose alimjibu kwa mkato huku akimtengeneza mtoto aliyekuwa mgongoni.
SASA ENDELEA…
“Na…na…na huyu si…si…si shoga yako nani kweli?”
“Eflazia,” nilimjibu nikiwa nambembeleza mwanangu aliyekuwa anataka kulala.
“Jamani hii si kawaida kuna kitu, watoto wazuri kama ninyi kuja kwa kibabu hiki si bure lazima kuna kitu,” mama Sabuni alilalamika kwa sauti ya huzuni nilimsikia lakini sikumuelewa.
“Bibi eeh fuata kilichokuleta ya huku mengine hayakuhusu,” Rose...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7WneqSgyLLqSity3l30z33rmJEuGbHkWG7QPIiurVOnVpNwy9mIEDjpk7t5IVYMkyaB1szBfO2j2TOVzYn81NQCyn/thea.jpg)
THEA: NIMESAHAU KAMA NILIOLEWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*wb8FAGfwromFhJ9HrhoqLziWDZ*4x2SFPpb5C5XQQafRRzP9abnYFLS0IDqUcp2elMkZFbmW2WCKaPTItgFsJ/mke.jpg?width=650)
MKE: NILIOLEWA ILI NIAMBUKIZWE UKIMWI
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqyKWcWuGt4X8*1rEX-P7inHgjTh4bKW5-ryYSakFdTchNJRYXFHzPuAMRXqHaW4fJWZ5C92pWPdVRSRm02UO9kX/diamond.jpg?width=650)
20% ANASWA KWA MGANGA WA KIENYEJI
11 years ago
Habarileo20 Feb
Afa kwa kunaswa na umeme kazini
MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.
11 years ago
Habarileo16 Mar
Jambazi afia kwa mganga wa kienyeji
MKAZI wa Kijiji cha Kemakorere, Kata ya Nyarero iliyopo Tarafa ya Inchage, Tarime, Nchagwa Marwa Yusuph (35) aliyekuwa akisakwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha wilayani hapa, amekutwa amekufa nyumbani kwa mganga wa kienyeji alikokuwa akitibiwa majeraha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4ORLCU0*V34zT3PqmnbKQsRgxBMoUqScDQ9YnEiTmOwOwfRK0PjkfPy2TbrYdjjnAAy1wOl3Zz*r3unZ95V7Ou/JOHARI.jpg)
JOHARI ADAIWA KUNASWA KWA MGANGA!