THEA APATA MWANAUME WA KUMLEA
![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi642FC0xO6Bl6tWJv0cNdDl8AG3e73BL4*pObXg6HplIvj1UmPqpSoYKuYJV6WBn0jCwt1aHVGiBP7P9kOhgNWIa/thea.jpg)
Ndicho alichokitaka! Kwa taarifa yako, mwigizaji ‘lejendari’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ juzikati alifunguka kuwa kwa sasa amepata mwanaume anayejua kumlea na kumtunza ambapo anatarajia kumuweka wazi muda si mrefu. Mwigizaji ‘lejendari’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’. Akistorisha na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita ndani ya Hoteli ya Protea jijini Dar, Thea alisema kuwa baada...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Mwanaume apata hisia za ujauzito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om6Uh--sn6-ujI5gI3ZS*-V4NifcvpRDzp7DY88OKqUjY0-Bdlwv1TEimEoQpy7mPP*Xw1FHCCQvFKE47yo0SYO/BACK.jpg?width=650)
MAAJABU MWANAUME APATA SIKU KAMA WANAWAKE
9 years ago
Habarileo22 Dec
Yanga kumlea kiungo wa Rayon
- JONES Na Grace Mkojera KLABU ya Yanga imesema kiungo wa Rayon Sports Jerome Sina ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha timu hiyo kujinoa kwa mazoezi wakiendelea kutazama kiwango chake.
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
TFF yazidi kumlea Aden Rage
KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imezidi kusisitiza kuwa bado Mwenyekiti wa Simba huku ikimtaka kuitisha mkutano mkuu kwa mujibu wa Katiba ya...
11 years ago
Mwananchi26 May
Mke wa Mvungi akubali kumlea mtoto Nasra
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p53ehfl8xTo/VKN2_lMpedI/AAAAAAAA1Ac/ZRgl6ghehOo/s72-c/Sholole-aliwa-na-Pendo.jpg)
SHILOLE KIUNO AJIPA JUKUMU LA KUMLEA MTOTO MDOGO ALIYEKIMBIA KWAO KUOLEWA!
![](http://2.bp.blogspot.com/-p53ehfl8xTo/VKN2_lMpedI/AAAAAAAA1Ac/ZRgl6ghehOo/s1600/Sholole-aliwa-na-Pendo.jpg)
Muimbaji wa ‘Namchukua’ Shilole, ameamua kumchukua binti aitwaye Pendo baada ya kutoroka nyumbani kwao Morogoro akikimbia kuozeshwa kwa lazima. Shilole ameposti picha Instagram na kuandika:Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na @dahuucloudsfm milipata kuskia story ya huyo bint hapo kwenye picha! Kuwa ametoroka kwao tanga kuja dar kwA sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora...
9 years ago
Bongo526 Oct
Chris Brown na mzazi mwenzie waweka tofauti pembeni kumlea pamoja mtoto wao Royalty
10 years ago
Bongo Movies28 Jun
Thea Atetea Chipukizi
Ndumbangwe Misayo ‘THEA’ ametaka wasanii chipukizi wathaminiwe katika fani hiyo kwani wana umuhimu wao katika utengenezaji wa Filamu pia.
Akizungumza na safu hii katikati ya wiki, Thea alisema kila msanii ana thamani yake kutokana na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe kulingana na kazi zao badala ya kuwawekea vizuizi vinavyokwamisha maendeleo ya vipaji vyao .
"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu na wasanii ambao ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilq7GCVIVCnPpWb2*aAG0jQQgtppVWJZL99wP4ryKv1Si7vH23Pnvwxz7GdQeULi34HtlV7IVNaXctEo9veRqVdK/thea.jpg)
USICHOKIJUA KUHUSU THEA