Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THEA APATA MWANAUME WA KUMLEA

Ndicho alichokitaka! Kwa taarifa yako, mwigizaji ‘lejendari’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ juzikati alifunguka kuwa kwa sasa amepata mwanaume anayejua kumlea na kumtunza ambapo anatarajia kumuweka wazi muda si mrefu. Mwigizaji ‘lejendari’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’. Akistorisha na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita ndani ya Hoteli ya Protea jijini Dar, Thea alisema kuwa baada...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaume apata hisia za ujauzito

Mwanaume mmoja mjini Birmingham nchini Uingereza alilazimika kupata mapumziko kazini baada ya kupata hisia za ujauzito

 

10 years ago

GPL

MAAJABU MWANAUME APATA SIKU KAMA WANAWAKE

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MAAJABU! Ndivyo unavyoweza kusema unapokutana na mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina  la Frank Kalamu (53) mkazi wa Ilala Jijini Dar es Salaam, aliyetoa ushuhuda wa kufunga mwaka kwamba kwa zaidi ya miaka miwili, alikuwa akipata siku zake kama ilivyo kwa wanawake, ingawa yeye ni kupitia njia ya haja kubwa. Frank Kalamu akiombewa kanisani. Akitoa ushuhuda huo ndani ya...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga kumlea kiungo wa Rayon

- JONES Na Grace Mkojera KLABU ya Yanga imesema kiungo wa Rayon Sports Jerome Sina ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha timu hiyo kujinoa kwa mazoezi wakiendelea kutazama kiwango chake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yazidi kumlea Aden Rage

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imezidi kusisitiza kuwa bado Mwenyekiti wa Simba huku ikimtaka kuitisha mkutano mkuu kwa mujibu wa Katiba ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mke wa Mvungi akubali kumlea mtoto Nasra

Mke wa Rashid Mvungi, baba mzazi wa Nasra (4) aliyefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, amekubali kumlea mtoto wake huyo wa kambo kwa hali na mali.

 

10 years ago

Vijimambo

SHILOLE KIUNO AJIPA JUKUMU LA KUMLEA MTOTO MDOGO ALIYEKIMBIA KWAO KUOLEWA!




Muimbaji wa ‘Namchukua’ Shilole, ameamua kumchukua binti aitwaye Pendo baada ya kutoroka nyumbani kwao Morogoro akikimbia kuozeshwa kwa lazima. Shilole ameposti picha Instagram na kuandika:Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na @dahuucloudsfm milipata kuskia story ya huyo bint hapo kwenye picha! Kuwa ametoroka kwao tanga kuja dar kwA sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown na mzazi mwenzie waweka tofauti pembeni kumlea pamoja mtoto wao Royalty

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza tofauti zao ili kushirikiana pamoja kumlea mtoto wao, Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Vyanzo vilivyo karibu na Chris na Nia vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wawili hao hivi karibuni walikubaliana kumlea mtoto wao kwa amani. Wameamua kumpeleka pamoja kwenye mazoezi ya kuogelea, shuleni na michezo mbalimbali. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Thea Atetea Chipukizi

Ndumbangwe  Misayo  ‘THEA’ ametaka  wasanii  chipukizi  wathaminiwe  katika  fani  hiyo  kwani  wana umuhimu wao katika  utengenezaji wa Filamu pia.        

Akizungumza  na  safu  hii  katikati  ya  wiki,  Thea  alisema  kila msanii ana  thamani  yake  kutokana  na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe  kulingana na kazi zao  badala  ya  kuwawekea  vizuizi vinavyokwamisha  maendeleo  ya  vipaji  vyao .    

"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu  na  wasanii  ambao ...

 

10 years ago

GPL

USICHOKIJUA KUHUSU THEA

Makala: Gladness Mallya
Mpenzi msomaji wa safu hii ya Exclussive Interview baada ya kumaliza kusoma historia ya maisha ya msanii wa filamu Bongo, Wastara Juma, leo tunakuletea msanii mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’.Thea amefunguka mengi kuhusiana na maisha yake ya sanaa, karibu uinjoi mahojiano: Msanii mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’. HISTORIA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani