Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanaume apata hisia za ujauzito

Mwanaume mmoja mjini Birmingham nchini Uingereza alilazimika kupata mapumziko kazini baada ya kupata hisia za ujauzito

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 15: Mtoto anaanza kupata hisia

KATIKA wiki ya 15, mtoto anakuwa amefikia urefu wa inchi nne. Hivi sasa, majimaji yaliyopo tumboni yanaweza kuanza kupenya kwenye pua zake na kuingia kwenye sehemu ya juu ya njia...

 

9 years ago

GPL

THEA APATA MWANAUME WA KUMLEA

Ndicho alichokitaka! Kwa taarifa yako, mwigizaji ‘lejendari’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ juzikati alifunguka kuwa kwa sasa amepata mwanaume anayejua kumlea na kumtunza ambapo anatarajia kumuweka wazi muda si mrefu. Mwigizaji ‘lejendari’ Bongo, Salome Urassa ‘Thea’. Akistorisha na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita ndani ya Hoteli ya Protea jijini Dar, Thea alisema kuwa baada...

 

10 years ago

GPL

MAAJABU MWANAUME APATA SIKU KAMA WANAWAKE

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MAAJABU! Ndivyo unavyoweza kusema unapokutana na mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina  la Frank Kalamu (53) mkazi wa Ilala Jijini Dar es Salaam, aliyetoa ushuhuda wa kufunga mwaka kwamba kwa zaidi ya miaka miwili, alikuwa akipata siku zake kama ilivyo kwa wanawake, ingawa yeye ni kupitia njia ya haja kubwa. Frank Kalamu akiombewa kanisani. Akitoa ushuhuda huo ndani ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Uwoya Apata Ujauzito:Yasemekana Ni Ya Msanii Milionea Jaguar Toka Kenya.





Grapevine has it that, actress Irene Uwoya is pregnant for her second child and the man behind it is non other than Kenyan artist Jaguar. "Uwoya is pregnant of Jaguar, she wants to have more kids, they love one another truly, next week she might be in Kenya to visit her man" said the sourceSWP failed to reach Uwoya, however, through her Instagram account the actress posted something which matches with what the source said. Uwoya posted the photo below touching her stomach and asked her fans...

 

10 years ago

Africanjam.Com

11 years ago

Habarileo

Tuhuma za rushwa ni hisia tu-Wizara

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema tuhuma za rushwa zinazoambatanishwa na kazi ya usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji ni hisia tu za wahusika.

 

10 years ago

Habarileo

Katiba mpya hisia tofauti

RASIMU ya tatu ambayo imetolewa hadharani juzi na Bunge Maalum la Katiba, imepokewa kwa maoni mbalimbali. Baadhi ya wananchi wameipongeza kwa kuingiza mambo ya msingi na wengine wameonesha kutoridhishwa na rasimu hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hisia kutoka Marekani na Iran

Baada kutangazwa muafaka baina ya Iran na mataifa 6 yenye nguvu zaidi duniani Rais Obama na Rouhani wametoa hisia zao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani