MAZIKO YA SHEIKH KILEMILE YATUFANYE TUJITAFAKARI THAMANI YETU KWA BINADAMU WENGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4iwCsUJEffw/XrP0uvUqMLI/AAAAAAALpYE/Hhs6FwXCoiEgXNYX60Q2y8zXla5ZyPpjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B2.26.02%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVNILIITAZAMA jana jioni, nikaitazama tena usiku, kisha nikaitazama mara nyingi mfululizo. Sijachoka kuitazama hata leo nimeamka naitazama tena. Nadhani nitaitazama mara nyingi kwa muda mrefu.
Wakati nikiitazama machozi yalikua yakinitoka. Imani yangu ilikua ikisulubika, nikijitafakari kama mimi ni binadamu mwenye thamani mbele ya wanadamu wengi.
Video niliyokua naitazama ni ya Maziko ya mmoja wa Masheikh mashuhuri na Mwanazuoni nguli wa Dini ya Kiislamu, Sheikh...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/of08D8aS5Co/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MUNGU AZIDI KUILINDA AMANI YA NCHI YETU YA TANZANIA NASI KWA PAMOJA TUIONE THAMANI YAKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2
10 years ago
Mwananchi06 Jul
MAONI :Tuipe thamani soka yetu izae matunda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M0uTlRh0GcI/Xs9uWwrQ8oI/AAAAAAALr0E/eSEch24cnFQDQcxr5Jtb5xvTxRNoI2EvgCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
LAZIMA TUJITAFAKARI TUNATAKA KUISHI NA CORONA KWA STAILI GANI? ...TUNAJISAHAU
Na Zainab Nyamka-Michuzi TV
IKIWA zimepita siku kadhaa toka itangazwe kwamba maambukizi ya virusi vya Corona nchini kupungua, tumeanza kushuhudia Watanzania waanza kuishi maisha yale yale...
Sijui ni nani ameturoga sisi watanzania, ina maana tumeshasahau? Au tunaendelea kuamini kuwa hautatupata tena?
Kauli ya Rais Dkt.John Magufuli iheshimiwe na kutekelezwa ila tusisahau wajibu wetu kama wananchi watiifu kwake.Ni sawa maambukizi ya Corona yameoungua lakini tuendelee kujikinga kwani ugonjwa upo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GMTsDcjv9O0/VZl8iHDe1wI/AAAAAAAHnKo/GCBSLsE_83c/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RTKv-EF7ub4/VZl8iBGBaNI/AAAAAAAHnKQ/de8TGVAJ_NU/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
11 years ago
GPLTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUVUNJWA KABURI LA SHEIKH YAHYA HUSSEIN NA SHEIKH KASIM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baSezXflmy4/XvBrE-tZeNI/AAAAAAALu3I/5L5VsrrqQw87hI3wa9x6KAUTQ0tmWSWzACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B9.32.34%2BAM.jpeg)
SERIKALI YAJENGA MAABARA YA KISASA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA BINADAMU YA KUAMBUKIZWA YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI TISA MKOANI KILIMANJARO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imejenga Maabara ya Kisasa ya uchunguzi wa magonjwa ya binadamu ya kuambukiza yenye thamani ya shilingi Bilion tisa katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Maabara hiyo ikiwa inaelekea kukamilika ili kuanza kutoa huduma za uchunguzi wa...