MAONI :Tuipe thamani soka yetu izae matunda
Mwezi mmoja kabla ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kuanza rasmi msimu mpya, bado wapenzi na mashabiki wameendelea kushuhudia usajili ambao umekuwa ukifanywa na klabu 16 zinazotarajiwa kushiriki ligi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2
Nilipoandika wiki iliyopita kwamba kumbe miili yetu haina thamani tena, kwa hakika sikuwa natania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4iwCsUJEffw/XrP0uvUqMLI/AAAAAAALpYE/Hhs6FwXCoiEgXNYX60Q2y8zXla5ZyPpjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B2.26.02%2BPM.jpeg)
MAZIKO YA SHEIKH KILEMILE YATUFANYE TUJITAFAKARI THAMANI YETU KWA BINADAMU WENGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4iwCsUJEffw/XrP0uvUqMLI/AAAAAAALpYE/Hhs6FwXCoiEgXNYX60Q2y8zXla5ZyPpjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B2.26.02%2BPM.jpeg)
Wakati nikiitazama machozi yalikua yakinitoka. Imani yangu ilikua ikisulubika, nikijitafakari kama mimi ni binadamu mwenye thamani mbele ya wanadamu wengi.
Video niliyokua naitazama ni ya Maziko ya mmoja wa Masheikh mashuhuri na Mwanazuoni nguli wa Dini ya Kiislamu, Sheikh...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIvOOnVXMXOb3m0HDVWXleIDM08gJOs2ZjIMbip-gm2tvWSkmV6tQhbXtLr2bbH3ftz-C60*YOetyCInPORxcJ3/RaisKikwete_full.jpg?width=650)
KURA YA MAONI, NI TURUFU YETU WANANCHI, TUSIICHEZEE
Mwandishi Eric Shigongo
NIWASALIMU wote kwa jina la Mwenyezi Mungu, kwani bila yeye hakuna lisilowezekana. Nimekuwa nikiwahimiza siku zote ndugu zangu, bila kujali imani mbalimbali za dini tunazoziabudu, tutenge muda kwa ajili ya kumshukuru Mungu, kwa sababu yeye ndiye kila kitu. Sisiti kurudia, tena na tena kusisitiza kuwa tuko hivi tulivyo leo kwa sababu ya mapenzi yake, kwa sababu kama angetaka, wewe usingepata muda wa...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MUNGU AZIDI KUILINDA AMANI YA NCHI YETU YA TANZANIA NASI KWA PAMOJA TUIONE THAMANI YAKE
wimbo wa Tanzania by Milca Kakete
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Tuiheshimu ligi yetu ya soka msimu huu
Mbio za kusaka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinaanza, Septemba 12 na 13 kwa timu zote 16 kuumana kwenye viwanja tofauti.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1B1cPAQRJCg/VY9rSqp7MGI/AAAAAAABj2M/k6rLAKpjc-0/s72-c/BIN%2BZUBEIRY.jpg)
HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!
![](http://1.bp.blogspot.com/-1B1cPAQRJCg/VY9rSqp7MGI/AAAAAAABj2M/k6rLAKpjc-0/s640/BIN%2BZUBEIRY.jpg)
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
KILA LA HERI BINTI YETU ZAHARA KWENYE KURA ZA MAONI ZA UBUNGE WA CCM VIJANA MKOANI TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005*Shule Ya Sekondari Ya...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Mwananchi23 Feb
MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka
>Hivi karibuni Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lilitangaza orodha ya viwango vya ubora kwa nchi wanachama wake duniani inayoonyesha Tanzania imeshuka kwa nafasi mbili kutoka 105 iliyoshika mwezi uliopita hadi nafasi ya 107.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania