Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI :Tuipe thamani soka yetu izae matunda

Mwezi mmoja kabla ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kuanza rasmi msimu mpya, bado wapenzi na mashabiki wameendelea kushuhudia usajili ambao umekuwa ukifanywa na klabu 16 zinazotarajiwa kushiriki ligi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nimebaini miili yetu haina tena thamani-2

Nilipoandika wiki iliyopita kwamba kumbe miili yetu haina thamani tena, kwa hakika sikuwa natania.

 

5 years ago

Michuzi

MAZIKO YA SHEIKH KILEMILE YATUFANYE TUJITAFAKARI THAMANI YETU KWA BINADAMU WENGINE

Charles James, Michuzi TVNILIITAZAMA jana jioni, nikaitazama tena usiku, kisha nikaitazama mara nyingi mfululizo. Sijachoka kuitazama hata leo nimeamka naitazama tena. Nadhani nitaitazama mara nyingi kwa muda mrefu.
Wakati nikiitazama machozi yalikua yakinitoka. Imani yangu ilikua ikisulubika, nikijitafakari kama mimi ni binadamu mwenye thamani mbele ya wanadamu wengi. 
Video niliyokua naitazama ni ya Maziko ya mmoja wa Masheikh mashuhuri na Mwanazuoni nguli wa Dini ya Kiislamu, Sheikh...

 

10 years ago

GPL

KURA YA MAONI, NI TURUFU YETU WANANCHI, TUSIICHEZEE

Mwandishi Eric Shigongo
NIWASALIMU wote kwa jina la Mwenyezi Mungu, kwani bila yeye hakuna lisilowezekana. Nimekuwa nikiwahimiza siku zote ndugu zangu, bila kujali imani mbalimbali za dini tunazoziabudu, tutenge muda kwa ajili ya kumshukuru Mungu, kwa sababu yeye ndiye kila kitu. Sisiti kurudia, tena na tena kusisitiza kuwa tuko hivi tulivyo leo kwa sababu ya mapenzi yake, kwa sababu kama angetaka, wewe usingepata muda wa...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mwananchi

Tuiheshimu ligi yetu ya soka msimu huu

Mbio za kusaka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinaanza, Septemba 12 na 13 kwa timu zote 16 kuumana kwenye viwanja tofauti.

 

10 years ago

Vijimambo

HUO USWAHIBA WA TFF NA YANGA UNAODUMAZA SOKA YA TANZANIA, YETU MACHO!


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linamiliki Uwanja mmoja tu wa michezo, Karume uliopo kwenye ofisi zake eneo la Ilala, Dar e Salaam.Ni Uwanja mdogo na maalum kwa mazoezi tu, ambao pia haukidhi mahitaji ya kuitwa kituo cha mazoezi ya kisasa ya timu, lakini angalau upo.Uwanja wa Karume ni maalum kwa mazoezi ya timu za taifa zote, wanawake na wanaume kuanzia vijana hadi wakubwa.Uwanja huo pia hutumika kwa programu za mafunzo ya uwanjani ya marefa, makocha na kadhalika.Binafsi, nitaukumbuka...

 

10 years ago

Vijimambo

KILA LA HERI BINTI YETU ZAHARA KWENYE KURA ZA MAONI ZA UBUNGE WA CCM VIJANA MKOANI TABORA


Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;

*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001

*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005

*Shule Ya Sekondari Ya...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : TFF isiingize siasa za uchaguzi kwenye soka

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa litamualika Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki inayoanza mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: TFF iachane na Ligi Kuu, ijikite kuendeleza soka

>Hivi karibuni Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lilitangaza orodha ya viwango vya ubora kwa nchi wanachama wake duniani inayoonyesha Tanzania imeshuka kwa nafasi mbili kutoka 105 iliyoshika mwezi uliopita hadi nafasi ya 107.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani