Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakutakuwa na button ya dislike kwenye Facebook bali emojis kuashiria hisia mbalimbali

Mtandao wa Facebook umetangaza Alhamis hii kuwa button yake ya dislike si kama watu walivyotarajia, bali ni kundi la emojis zenye kuashiria hisia mbalimbali. Emojis hizo zitakuwepo pembeni mwa button ya like ya dole gumba zikiwasilisha hisia mbalimbali zikiwemo, love, haha, yay, wow, sad, na angry. Bahati nzuri au mbaya hakuna button ya dislike. Utaratibu […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Facebook kuanza majaribio ya button mpya ya ‘dislike’ hivi karibuni— asema Mark Zuckerberg

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema kuwa wanalifanyia kazi ombi la kuongeza button ya ‘dislike’ ambayo imekuwa ikiombwa na watumiaji wengi wa mtandao huo. Mark amesema kuwa muda si mrefu wataanza kuifanyia majaribio button hiyo; “Tumewasikia na tunaifanyia kazi na tutawaletea kitu kitakachokidhi mahitaji ya jamii kubwa. Watu wamekuwa wakiulizia kuhusu button ya […]

 

10 years ago

BBC

Facebook gives users 'Ebola button'

Facebook adds an Ebola button to users' profile pages to help people donate to charities fighting the disease.

 

10 years ago

Vijimambo

MAFURIKO HAYA YA LOWASA YAKIAMISHIWA KWENYE MITO YETU TANZANIA HAKUTAKUWA NA SHIDA YA UMEME TENA

Ni asubuhi tulivu kabisa ya Jumatatu tarehe 10/8/2015.Ni siku ya kihistoria katika Taifa letu.Hii ni kwa sababu Kamanda mpambanaji na asiyechoka mzee wa Maamuzi magumu Edward Ngoyai Lowassa akiwa na mgombea mwenza Juma Duni Haji watachukua rasmi fomu za kugombea Urais kupitia UKAWA katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Timu ya wanahabari wa JF tayari iko hapa buguruni katika ofisi kuu za CUF ili kuwaletea kila kitakachojiri.Tunatarajia maanadamano haya makubwa yataanza saa 3 asubuhi hapa...

 

10 years ago

Michuzi

Jinsi ya kuimarisha usalama wa akaunti kwenye Facebook

website Design & Hosting in TanzaniaSiku hizi ni kitu cha kawaida kuona vitu vya ajabu vikitumwa tokea akaunti ya mtu unayemuamini sana na haukutegemea kama mtu kama yeye angeweza kutuma (post) vitu kama hivyo, na ikakufanya hata utake kujitoa (Unlike / Unfriend) toka kwenye urafiki au ufuatiliaji kwake. Je unadhani ni kweli kila kitu kinachotumwa kwenye Facebook hutumwa na na muhusika? Jibu ni hapana. Mara nyingi ni wavamizi walioingia kwenye akaunti ya muhusika na kuitumia kadri wawezavyo ama kwakuwa umeruhusu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli:haikua nia kuashiria ubaguzi

Mshambulaji wa Liverpool Mario Balotelli, ameomba radhi kwa kuweka picha yenye kuashiria vitendo vya kibaguzi kwenye instagram

 

10 years ago

TheCitizen

There’s a reason why we Africans fear and dislike dogs

According to logic, it should not be happening. Why would a people who live so close to nature be scared? After all one of the first statements you hear outside the hot continent might be:

 

9 years ago

Habarileo

Yericko Nyerere kizimbani kwa taarifa za kwenye facebook

MFANYABIASHARA Yericko Nyerere amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka matano ya kutoa taarifa za uongo kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.

 

5 years ago

GSMArena.Com

Gboard introduces Emoji Kitchen feature to combine multiple emojis stickers - GSMArena.com news

Gboard introduces Emoji Kitchen feature to combine multiple emojis stickers - GSMArena.com news  GSMArena.comGboard Emoji Kitchen allows you to create hybrids  Android AuthorityGoogle’s Gboard introduces Emoji Kitchen, a tool to mash up emojis to use as stickers  TechCrunchCreate and Customize Your Own Android Emojis With Gboard  LifehackerHow to make custom emoji on your Android phone  TechRadarView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani