Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yericko Nyerere kizimbani kwa taarifa za kwenye facebook

MFANYABIASHARA Yericko Nyerere amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka matano ya kutoa taarifa za uongo kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yashtakiwa kwa kuhodhi taarifa za fedha

Facebook inakabiliwa na mashtaka mawili ya ukiukaji wa haki za wawekezaji wake ilipowanyima maelezo kamili kuhusiana na hisa zake mwaka wa 2012.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Nimekamatwa kwa kudanganya kwamba nina corona kwenye Facebook

Baadhi ya watu wanakamatwa kwa kutuma ujumbe wa uongo kuhusu corona kwenye mitandao ya kijamii.

 

9 years ago

Vijimambo

UDADAMVU KWENYE SURA ZA MBELE ZA MAGAZETU PENDWA HUKO KWA NYERERE JITIRIRISHE


KUJIONEA UDADAMVU ULIPAMBA MBELE YA MAGAZATI HAYA INGINA HUKU

 

10 years ago

Raia Mwema

Siku Rais Nyerere alipotinga kizimbani akituhumiwa Kuvamia Uganda kijeshi

WAKATI akiondoka Dar es Salaam kuelekea nchini Liberia kuhudhuria Mkutano wa 16 wa Wakuu wa nchi

Joseph Mihangwa

 

11 years ago

Ykileo

FACEBOOK YAPINGA KUWASILISHA TAARIFA ZA WAHALIFU MTANDAO

Mahakama katika nchi mbalimblai zimekua na taratibu zakukusanya vielelezo vya kidigitali vitakavyo toa uthibitisha makosa mbali mbali ya kimtandao.
Mtandano wa kijamii wa Facebook ulitakiwa kuwasilisha taarifa za wateja wake ambao walihusishwa na uhalifu mtandao wa kujipatia pesa kinyume na sharia kupitia mtandao wa kijamii wa facebook.


Mtandao huo wa kijamii wa Facebook umekata rufaa dhidi ya amri hiyo ya mahakama ambapo ilitakiwa kuwasilisha taarifa  za watu takriban 400 waliouhusika...

 

9 years ago

Habarileo

Taarifa za uongo Whatsapp zawapandisha kizimbani

WATU wanne wakiwemo ndugu watatu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa Whatsapp, kuwa nchi inaingia kwenye machafuko wakati wa uchaguzi.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

TAHADHARI  Hii ni taarifa kwa umma kwa ujumla kwamba mtu au kikundi cha watu wasiojulikana na wasiokuwa waaminifu wametengeneza au kuingia kwa jinai kwenye anuani yangu ya facebook na Twiter (TWITA) kuanzia tarehe 6 Juni 2014 kupelekea mimi kushindwa kufanya chochote ikiwamo kuandika au kuposti kitu chochote tokea tarehe 7 Juni 2014. Kwa taarifa hii ijulikane kuwa posti zote toka tarehe 7 June 2014 sio zangu au sihusiki nazo. Kwamba watu hao wanaojifanya ni mimi wanatumia maneno au jina...

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....

Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha.Ukweli ni kwamba mabunda hayo ya noti yalikamatwa huko jijini York, Portland, Marekani Mwezi Septemba mwaka 2010, na sio hapa Dar es salaam, Tanzania kama ambavyo wadau wengi wa mitandao hasa ya Whatsapp na Instagram wanavyovumisha.Tumelazimika kutoa habari hii ili kuokoa wadau...

 

10 years ago

Vijimambo

Ratiba ya mazishi ya Robert kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye familia ya marehemu


1. Marehemu atazikwa siku ya Jumatatu tarehe 5 Januari, 2015 katika makaburi ya Kinondoni hapa Dar es salaam kuanzia saa 10 jioni.2. Ibada na kutoa heshima za mwisho kwa marehemu vitafanyika katika Kanisa la Kienjili la Kilutheri lililopo Msasani karibu na Hospitali ya CCBRT. Ibada itaanza itaanza saa 8 kamili mchana.3. Safari ya kupeleka mwili kanisani itaanzia nyumbani kwa marehemu katika nyumba za wafanyakazi Mbezi Beach saa 6 mchana. Safari itaanza baada ya waombolezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani