UDADAMVU KWENYE SURA ZA MBELE ZA MAGAZETU PENDWA HUKO KWA NYERERE JITIRIRISHE
![](http://4.bp.blogspot.com/-UChktLiuN8E/VfjctJl6hdI/AAAAAAAACaA/Yq7PhbteCms/s72-c/1.jpg)
KUJIONEA UDADAMVU ULIPAMBA MBELE YA MAGAZATI HAYA INGINA HUKU
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_IXvutVaAWM/Vft-TzBJxBI/AAAAAAAALFo/hD3bqRzAFu0/s72-c/WP_20150918_001.jpg)
JITIRIRISHE NA VISHOKOMZOBE VILIVYOPAMBA KATIKA PANDE ZA USO WA MAGAZETI PENDWA YA BONGO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_IXvutVaAWM/Vft-TzBJxBI/AAAAAAAALFo/hD3bqRzAFu0/s640/WP_20150918_001.jpg)
Kwa Vishokomzobe zaidi vya uso wa magazeti ya leo, jitiririshe soma zaidi
![](http://4.bp.blogspot.com/-NVGEc7G7dE0/Vft-TmCCvcI/AAAAAAAALFk/-m321cPKOPE/s640/WP_20150918_002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ByUG5KfCZ7E/Vft-T9bE0OI/AAAAAAAALFs/2a9h1ER8GM8/s640/WP_20150918_008.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mA-Bz4PsYEI/Vft-V8wBOUI/AAAAAAAALF8/fa-_ExphuVo/s640/WP_20150918_009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMfPBadEExg/Vft-uXpOGhI/AAAAAAAALGE/So3Iw7LxSak/s640/WP_20150918_003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZ3sBSeh81Y/Vft-vuSQVRI/AAAAAAAALGI/BlJHlJ93L0A/s640/WP_20150918_004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8wWUoaru2TU/Vft-wDzUEBI/AAAAAAAALGQ/tyMiJidGEfQ/s640/WP_20150918_005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bhgWYMR94qM/Vft-yoSUSzI/AAAAAAAALGc/1ac6R9Xl0sw/s640/WP_20150918_007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-loGdggLW1aI/Vft-zTGwnYI/AAAAAAAALGg/DQJpEYLpn1A/s640/WP_20150918_010.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F7wg8Y87ps0/Vft-0QhqTQI/AAAAAAAALGo/r2SeN3GAGJY/s640/WP_20150918_011.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6gNr4LMeRwo/Vft-2FWh1zI/AAAAAAAALG0/zX2iGOnRMug/s640/WP_20150918_012.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gpQaYBzCPLc/Vft-2rtbpYI/AAAAAAAALG4/AJubb0KljhY/s640/WP_20150918_013.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 May
MJUE MAKONGORO NYERERE JITIRIRISHE HAPA CHINI
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/makongoro_charles.jpg)
Moses Ng’wat, Mbeya
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.Makongoro ambaye mwaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-FAyUBzOM-9I/VXeO_Wbb5UI/AAAAAAADq7o/zV1LufxyouE/s72-c/Tibaijuka.jpg)
UNANINI CHA KUSEMA JUU YA MANENO HAYA YA PROF ANNA TIBAIJUKA KWA WAPIGA KULA WAKE BAADA KUZOMEWA MBELE YA KINANA HUKO BUKOBA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-FAyUBzOM-9I/VXeO_Wbb5UI/AAAAAAADq7o/zV1LufxyouE/s640/Tibaijuka.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Jan
KITENDO HIKI CHA ZUA MJADALA HUKO TANZANIA JITIRIRISHE HAPA CHINI NA WEWE UNALA KUSEMA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-uIE8R_9QiEM%2FVM0si9WfljI%2FAAAAAAADWok%2FHirMj-faaOw%2Fs1600%2Fkobe-butt-slap.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-vbBO5U7qlto%2FVM0skeh6QoI%2FAAAAAAADWos%2FJinZI0CKTZ0%2Fs1600%2F6a00d8341c630a53ef00e553d9b5ac8833-800wi.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-4hv-AHeYnrc%2FVM0slkd_mVI%2FAAAAAAADWo0%2Fpv59yeGIUdI%2Fs1600%2Fimages.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Uongozi wa Simba na Maguri wote kwa pamoja wametoa kauli juu ya tukio hilo na...
9 years ago
Vijimambo09 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
10 years ago
Vijimambo16 Jan
POLICE HUKO MIAMI PICHA ZENYE SURA ZA WEUSI NDIYO UJIFUNDISHIA KULENGA SHABAHA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/16/article-2912600-24BDE3B900000578-29_964x400.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Nov
Yericko Nyerere kizimbani kwa taarifa za kwenye facebook
MFANYABIASHARA Yericko Nyerere amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka matano ya kutoa taarifa za uongo kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...