Tatizo la mgawo wa umeme Arusha kumalizika Juni
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum Jimbo la Singida, Martha Mlata (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Dkt. Miganda Manyahi (kulia), jijini Arusha kabla ya kuanza kwa ziara kwenye miradi ya umeme. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini inafanya ziara katika miradi ya umeme iliyopo katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ili kujionea hatua ya utekelezwaji wake pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTATIZO LA MGAO WA UMEME ARUSHA KUMALIZIKA JUNI
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
LG yakabili mgawo wa umeme
KATIKA kukabiliana na tatizo la mgawo wa umeme nchini Tanzania, Kampuni ya vifaa vya umeme ya LG imetengeneza friji ya ‘ever cool’ yenye uwezo wa kuhifadhi baridi kwa saa 10....
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Ngeleja: Sitasahau mgawo wa umeme
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jw5zqGnfHdpadFB9FDiXlisEHsGQmmVzrgO6Q1MNOTm1cqunA5EzM0R2AJEFPjDgSnzuEijF53LrEpPa95SufDCeRHPJURsu/Mramba08Oct2015.png)
SIRI YA MGAWO WA UMEME HII HAPA
9 years ago
StarTV11 Oct
Rais Kikwete aahidi kumalizika kwa mgao wa umeme
Rais Jakaya Kikwete amezindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia toka Mtwara hadi Dar es Salaam, huku akilionya shirika la umeme nchini TANESCO, kuzingatia sheria za nchi wakati wa utekelezaji wa maagizo yake ya kuhakikisha kupatikana umeme wa dharura katika kipindi hiki ambacho uzalishaji wa nishati hiyo nchini umeshuka kwa kiwango kikubwa.
Shirika la TANESCO lipo kwenye mazungumzo na watu ambao Rais Kikwete amesema kulingana na taarifa alizopata toka TANESCO, wanaojadili...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco: Mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanesco; matrilioni kumaliza mgawo wa umeme nchini
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Tanesco yatangaza mgawo wa umeme wa siku tisa
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...