LG yakabili mgawo wa umeme
KATIKA kukabiliana na tatizo la mgawo wa umeme nchini Tanzania, Kampuni ya vifaa vya umeme ya LG imetengeneza friji ya ‘ever cool’ yenye uwezo wa kuhifadhi baridi kwa saa 10....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Oct
Ngeleja: Sitasahau mgawo wa umeme
10 years ago
GPL
SIRI YA MGAWO WA UMEME HII HAPA
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Tanesco: Mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Tanesco yatangaza mgawo wa umeme wa siku tisa
10 years ago
MichuziTatizo la mgawo wa umeme Arusha kumalizika Juni
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanesco; matrilioni kumaliza mgawo wa umeme nchini
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Putin aagiza majeshi yakabili tishio Syria
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Vigogo kizimbani mgawo Escrow
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana, ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa...
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Askofu asimulia mgawo wa Escrow
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
HATIMAYE Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa, amevunja ukimya na kusimulia namna alivyopokea Sh milioni 40.4 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engireering & Marketing Ltd, James Rugemalila.
Fedha hizo, ni sehemu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Askofu Nzigilwa ni mmoja wa watu waliotajwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), mwaka jana kuwa alipokea...