Serikali kuajiri wapya 11,000 sekta ya afya
Katika kuboresha utoaji wa huduma za afya nchini mwaka huu, Serikali inatarajia kuajiri wafanyakazi wapya zaidi ya 11,000, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Serikali kuajiri walimu 35,000 sekondari
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V5Ov98U2v1s/VOdugM4LC8I/AAAAAAAHE2Y/0RZJ6cVPhs4/s72-c/IMG_4991.jpg)
SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 - WAZIRI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5Ov98U2v1s/VOdugM4LC8I/AAAAAAAHE2Y/0RZJ6cVPhs4/s1600/IMG_4991.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya sekondari ya Kiwere, tarafa ya Kalenga, wilayani Iringa.
Waziri Mkuu alisema walimu hao watagawanywa kwenye shule kulingana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Nr85iToPjE/Xuyv5d67UeI/AAAAAAALuls/wCd5IV8DjSY6B1VFHKTGao_2YiwXs4GPACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B1.39.54%2BPM.jpeg)
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
11,000 waajiriwa sekta ya afya
SERIKALI imeajiri watumishi 11,221 wa sekta ya afya nchini kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2013/2014 idadi inayoelezwa kuwa kubwa katika historia ya Tanzania. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5iDjKD_ecs8/VIgx1gWRV8I/AAAAAAACwMw/Y7X8ISdv77M/s72-c/unnamed.jpg)
Wadau wa Sekta ya Afya kutoka Tanzania Washiriki Maonyesho ya Sekta ya Afya jijini Istanbul -Uturuki. Dec 2014.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaipongeza TPHA kukuza sekta ya afya
Mkurugenzi wa Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk. Margaret Mhando akifungua kongamano hilo la kisayansi.
Na Andrew Chale, Bagamoyo
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepongeza juhudi za makusudi zinazofanywa na Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) katika kushughulikia masuala ya afya kwa jamii huku ikiahidi kushirkiana kwa ukaribu.
Hayo yalisemwa jana mjini hapa na mgeni rasmi Mkurugenzi wa Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s72-c/unnamed.jpg)
Serikali yaipongeza TPHA katika sekta ya afya nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KkbBytET668/VHQCj7LPaWI/AAAAAAACvSM/nuLBOqPRV6g/s1600/unnamed.jpgh.jpg)
NA ANDREW CHALE, BAGAMOYO. SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepongeza juhudi za makusudi zinazofanywa na Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) katika kushughulikia masuala ya afya kwa jamii huku ikiahidi kushirkiana kwa ukaribu katika maboresho na kukuza...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s1600/unnamed.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA TPHA KATIKA SEKTA YA AFYA NCHINI