Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujinga ni umaskini tosha usipobadilika

Nawakumbuka wapigania haki wa Kiafrika waliowahi kuliongoza ama kulitakia mema bara hili kwa uwezo wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunajenga dimbwi la ujinga kuelekea umaskini

Ni dhahiri kuwa watu maskini duniani ni wale wasiosoma. Watu maskini zaidi duniani ni wale waliopata elimu bandia na iliyowavuruga hata akili walizozaliwa nazo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ujinga wa zama zilizopita, si lazima uwe ujinga wa zama hizi

“Kila taifa lina ujinga wake,” haya ni maneno yaliyotolewa na Profesa Palamagamba Kabudi alipokuwa akitoa mada kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hivi karibuni.

 

10 years ago

Vijimambo

VYUNGU VYA RUNGEMBA NI UTALII TOSHA


kiatu cha asili kilichotengenezwa kwa udongo ambacho kinauzwa kati ya Tsh 160,000 kwa kimoja na pea moja ni Tsh 320,000 kiatu hiki ni moja kati ya vivutio vya utalii katika wilaya ya Mufindi mkoani Iringa vinavyotengenezwa eneo la Rungemba na kuvutia watalii wa ndani na njeBaadhi ya vifaa mbali mbali vilivyotengenezwa kwa udongo eneo la Rungemba Mufindi ni zaidi ya utalii.Majiko na vyungu vilivyotengenezwa kwa udongoMmoja kati ya wanahabari mkoani Iringa Mawazo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ni Kweli Lulu, Ulichokisema Nifundisho Tosha

Mrembo na staa wa Bongo Movie, Elizabeth Michael “Lulu” ameandika maneno haya ambayo ni somo na fundisho kwetu sote.

“Kuna wakati kwenye maisha unaweza kukufuru Mungu kwa kuona huwezi kuishi bila kitu/mtu/watu flani, bila kujua kwa kufanya hivyo ni kama kukiabudu hicho kitu/mtu/watu(kuabudu ni kukifanya kitu kuwa muhimu na cha kwanza kuliko chochote kwenye maisha yako)....

Kama binadamu nimeshawahi kupita katika wakati kama huo kwa kujua/kutokujua, Maneno ya Kusema siwezi kuishi bila mtu...

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana ondokeni vijiweni, kilimo ni utajiri tosha

Ilikuwa siku ya Mei 29, mwaka huu zaidi ya watu 500 walikusanyika kujadili kilimo cha mpunga kibiashara huku Mkuu wa Mkoa, Abass Kandoro akiwa mgeni rasmi.

 

11 years ago

Mwananchi

Saa mbili ndani ya Buguruni elimu tosha

Kitu kimoja ambacho unaweza kukifanya kumbukumbu katika eneo la Buguruni, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam ni ‘vishombo’, huu ni mlo wa nyama za aina mbalimbali, mfano miguu ya kuku na utumbo wake.

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA FILAMU YA ONE MONTH DATE NI MAPINDUZI TOSHA

Sehemu ya vipande vya filamu hiyo.
Baadhi ya wahusika wa Filamu ya One Month Date.…

 

10 years ago

Mwananchi

Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!

Unaweza kuwa umekaa mahali fulani, lakini kichwani ukiogopa kusafiri kutokana na mfululizo wa ajali za barabarani zilizotokea hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani