VYUNGU VYA RUNGEMBA NI UTALII TOSHA
kiatu cha asili kilichotengenezwa kwa udongo ambacho kinauzwa kati ya Tsh 160,000 kwa kimoja na pea moja ni Tsh 320,000 kiatu hiki ni moja kati ya vivutio vya utalii katika wilaya ya Mufindi mkoani Iringa vinavyotengenezwa eneo la Rungemba na kuvutia watalii wa ndani na nje
Baadhi ya vifaa mbali mbali vilivyotengenezwa kwa udongo eneo la Rungemba Mufindi ni zaidi ya utalii.
Majiko na vyungu vilivyotengenezwa kwa udongo
Mmoja kati ya wanahabari mkoani Iringa Mawazo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVYUNGU VYA RUNGEMBA NI ZAIDI YA UTALII WILAYA YA MUFINDI
10 years ago
Michuzi.jpg)
wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
‘Watanzania tembeleeni vivutio vya utalii’
WATANZANIA wamehimizwa kutembelea vivutio vya utalii nchini kwa ajili ya kujifunza, kutangaza utalii wa ndani na kuongeza pato la taifa. Ushauri huo ulitolewa juzi na Ofisa Utalii wa Hifadhi ya...
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mradi wa kutangaza vivutio vya utalii
KLABU ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI) imeiomba serikali mkoani humo, kusaidia kufanikisha mradi wa utangazaji wa vivutio vya utalii mkoani humo, ambao utagharimu zaidi ya Sh milioni 145.
11 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Vivutio vya utalii Rungwe havitangazwi
WILAYA ya Rungwe mkoani Mbeya imeshindwa kupaa kiuchumi kwa kutovitangaza vivutio vya utalii vilivyopo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Christian and Gospel Ministry (CGM) wilayani humo, Watson...
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Tangazeni vivutio vya utalii- Nyalandu
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI za utalii nchini, zimetakiwa kutangaza vivutio vya utalii, ndani na nje ya nchi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alisema hayo jijini Arusha, wakati akifungua mkutano mkuu wa Wamiliki wa Kampuni ya Kusafirisha Watalii (TATO).
Alisema kazi ya kutangaza utalii inapaswa kupewa kipaumbele katika kampuni hizo.
Alizitaka kampuni hizo kuhakikisa zinaongeza kiasi kikubwa cha watalii wanaoingia nchini, ili kuiingizia serikali fedha nyingi za kigeni na kuachana...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Watanzania waaswa kutembelea vivutio vya utalii
WATANZANIA wameaswa kutembelea vivutio vya utalii ili kuona mambo mbalimbali hususani wanyama waliopo kwenye hifadhi zote nchini na hasa nyakati za Sikukuu za mwishoni mwa mwaka yaani Krismasi na Mwaka Mpya.
11 years ago
Mwananchi18 Sep
Taasisi za dini zianzishe vituo vya utalii