Saa mbili ndani ya Buguruni elimu tosha
Kitu kimoja ambacho unaweza kukifanya kumbukumbu katika eneo la Buguruni, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam ni ‘vishombo’, huu ni mlo wa nyama za aina mbalimbali, mfano miguu ya kuku na utumbo wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jul
MATUKIO: Saa mbili ndani ya Buguruni
>“Naombeni msaada…Wananipiga jamani…Tafadhari ndugu zangu niokoeni wataniuwa mimi,â€â€¦Ni sauti ya kijana anayepigwa na kundi la vijana kutokana na tuhuma za wizi eneo la Buguruni majira ya saa moja na nusu usiku.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
BIASHARA: Saa mbili ndani ya Machinjio ya Vingunguti
>Ukiwa unakaribia katika eneo la machinjio lililopo Vingunguti jijini hapa kabla ya kuingia ndani salamu ya kwanza utakayopokelewa nayo ni “Karibu mteja  fungu moja ni Sh 1,000 tu…dada karibu uboreshe ndoa…kaka karibu uboreshe ndoa,â€hizo ni sauti za vijana waliopanga bidhaa zao kwenye meza pembezoni mwa Barabara ya Vingunguti, nje ya banda la kuchinjia mifugo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_VRPZ16Qxow/VgoFr0uvMKI/AAAAAAAAAxY/1m2r3_ksmYU/s72-c/IYK-Flier-Oct-04.png)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s72-c/ibadaOct18-1.png)
Karibuni Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio - Maombezi Maalum ya Uchaguzi Mkuu wa Uraisi Tanzania: Muda Kuanzia Saa Kumi Kamili hadi Saa Kumi na Mbili Jioni (4:00pm - 6:00pm EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s640/ibadaOct18-1.png)
Karibu tembelea tovuti yetu :- www.iykcolumbus.orgMungu Ibariki Tanzania! Mungu Ibariki Afrika!
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s72-c/ibadaOct18-1.png)
Karibuni Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio - Maombezi Maalum ya Uchaguzi Mkuu wa Uraisi Tanzania: Muda Kuanzia Saa Kumi Kamili hadi Saa Kumi na Mbili Jioni (4:00pm - 6:00pm EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s640/ibadaOct18-1.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXmeIACEcj0LXe5NNeKBIEIyAaFjJWchfTWpuRg8J-WB7KDaH8VB8UAfZcyY7zkJOhCxDJtzMLiKJk7i9TbW9fZ/sensuality1.jpg?width=650)
Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari
Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda. Na Waandishi Wetu
UNAWEZA kusema ni umafia umefanyika baada ya mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda, kujiunga na Yanga akitokea Polisi Morogoro. Mrwanda alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuwatumikia vijana hao wa Jangwani, juzi jioni na jana alifanya maajabu kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam. Awali,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania