Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZINDUZI WA FILAMU YA ONE MONTH DATE NI MAPINDUZI TOSHA

Sehemu ya vipande vya filamu hiyo.
Baadhi ya wahusika wa Filamu ya One Month Date.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

One Month Date movie Launch at Century Cinemax 5th-11th December, 2014

Our initiative recognises the significant strides that have been made with Bongo Movies agencies; yet recognise the gaps that exist. Most of Tanzania movies describe issues on family matters mostly from low class and traditional societies, with little focus on question of modern power, politics, and complexity of social relations, of which make moving images interesting. ONE MONTH DATE  is our first movie to launch our initiative. This movie is about the changing structure of family and...

 

9 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa


 Baahi ya Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ wakitandaza kifusi kwa kukiweka sawa katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumzaa na wananchi baada ya kumalizika kwa  zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini...

 

9 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA MELI MPYA YA MV MAPINDUZI II MJINI ZANZIBAR LEO

 Picha ya Meli MV-Mapinduzi II ilipokuwa katika hatua za matengenezo Nchini Korea Kusini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto)akikata utepe kama ishara rasmi ya uzinduzi wa Meli ya MV-Mapinduzi II katika bandari ya Bandari ya Malindi Mjini Zanzibar akiwepo na Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi (wa pili kulia) Nahodha wa Meli hiyo Abubakar Mzee (kulia) na Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA FILAMU ZA SWAHILIWOOD USPIME

Wadau wakiangalia moja ya filamu katika uzinduzi huo. Wadau wakiendelea kufurahia burudani. Msanii mkongwe Mahsein Awadh 'Dokta Cheni' akibadilishana mawazo na msanii mwenzake, Shamsa Ford (kushoto) na kulia ni mwanadada aliyekuwa akimlinda Dokta Cheni.…

 

9 years ago

Bongo Movies

Nani Wakufanya Mapinduzi ya Filamu Kama Sio…

TUSIMAME TASNIA ISIMAME
Naifahamike wazi kuwa Tasnia ya filamu inakufa, na hatuwezi kuendelea kulalamika kuwa tasnia ya filamu inakufa huku kila mmoja akiweka bawa lake pembeni, hatuwezi kukaa chini na kulia tu kwani machozi hayajawahi kuzima moto unaounguza nyumba bali walioacha kulia ndio huzima moto.

Si kama Watanzania hawawezi kutengeneza Filamu kubwa za Kimataifa ila Tuna matatizo sugu yanayotafuna Tasnia miaka na Miaka.

Ikiwemo matatizo ya soko, elimu ya Sanaa, uwekezaji katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masele apania mapinduzi ya filamu Kanda ya Ziwa

MSANII chipukizi wa filamu za Kibongo mkoani Mwanza, Masele Malekela, amepania kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia hiyo kupitia kipaji chake na si kujiuza kama baadhi ya wasanii ambavyo wamekuwa wakifanya...

 

10 years ago

Bongo Movies

MJADALA: Mapinduzi ya Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania

ZAMARADI MKETEMA ameandika sehemu....

“…Natamani sana siku moja atokee mtu kwenye hii sekta atutambulishe hata kama sio kimataifa basi africa tu. R.I.P KANUMBA alianza kuonesha mwangaza na juhudi binafsi zilionekana na kila mtu aliona huenda angefika mbali.. lakini baada ya hapo sioni tena!!!!

Mbona hapa nyumbani ni wakubwa tu..? Nini kinawakwamisha..? Kwanini wasanii wetu wa filamu ukubwa wao unaishia nyumbani tu....!!? Tatizo ni nini!!!????? kiukweli ni kama inakatisha tamaa na inaonekana...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Shein afanya Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani