Wanaume 3 wagombea maiti ya mwanamke
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanaume watatu, wawili wakazi wa jijini hapa na mmoja mkazi wa Nyamongo wilayani Tarime juzi wakiwa katika Mtaa wa Isagenge B, Kata ya Nyakato wilayani Nyamagana, walizua tafrani baada ya kung’ang’ania maiti ya Happy Wangoge Mathias (33) aliyekufa siku chache baada ya kuolewa na Paschal Mayala, jijini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omJ8a*S3N*zviE6zUc0NLhqUVO9aVKUj1CtDyBXTygmXJwbgjErOMmZUN5-yhvdJKKmk-8mY6K2QPhoQ78LfS8Ya6lG1RZjY/IMG20151001WA0002.jpg?width=650)
MKE, MCHEPUKO WAGOMBEA MAITI
10 years ago
Habarileo13 Nov
Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari
WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.
9 years ago
GPLMAITI YA MWANAMKE YAKUTWA KWENYE DIMBWI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W1mCpgZkV1Co0LBa8Kz6wQ0GW6q2ifgzw9mZVmvx8NOO1EV0nBhEwYKMS9tzGuxhGnfRs3oNoyycBUDT*qZF2Wl/MWANAMKE.jpg)
MWANAMKE ATEKWA, AUAWA, MAITI YALIWA NA MBWA
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Maiti ya mwanamke iliyofukuliwa Shinyanga yazikwa kwa mara ya pili
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GUfrG8xX5q0/UcfxMEmazwI/AAAAAAAEfPU/3TkiGXQESA0/s72-c/image001.jpg)
KUTANA NA MWANAMKE ALIYEOA WANAUME WAWILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-GUfrG8xX5q0/UcfxMEmazwI/AAAAAAAEfPU/3TkiGXQESA0/s640/image001.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Shabiki mwanamke awakera wanaume Saudia
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Hauwa Ali Mariri: Mwanamke aliyeolewa na wanaume wawili Nigeria
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi