Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari
WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wanafamilia wagombea vyama, waumizana
WANACHAMA wa CCM na Chadema wa familia mbili tofauti wamepigana na kuumizana vibaya wakizozana kuhama katika vyama hivyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmpl-XF0QCi3aOHvpA3CIaUdfMYdKK5glStBQJNVj3CI8vD*5fq-Czr5FWfV*j4Nk3YKPMfJdJukQuptW5HOnybN/DKTR.jpg?width=650)
DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI
10 years ago
Habarileo25 Nov
Wanaume 3 wagombea maiti ya mwanamke
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanaume watatu, wawili wakazi wa jijini hapa na mmoja mkazi wa Nyamongo wilayani Tarime juzi wakiwa katika Mtaa wa Isagenge B, Kata ya Nyakato wilayani Nyamagana, walizua tafrani baada ya kung’ang’ania maiti ya Happy Wangoge Mathias (33) aliyekufa siku chache baada ya kuolewa na Paschal Mayala, jijini hapa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omJ8a*S3N*zviE6zUc0NLhqUVO9aVKUj1CtDyBXTygmXJwbgjErOMmZUN5-yhvdJKKmk-8mY6K2QPhoQ78LfS8Ya6lG1RZjY/IMG20151001WA0002.jpg?width=650)
MKE, MCHEPUKO WAGOMBEA MAITI
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Ukuta waua wanafamilia
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini
WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar
9 years ago
GPLSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL YAFANA DAR
9 years ago
MichuziSIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL TANZANIA YAFANA DAR
kufanya hivyo kutaweza kuimairisha afya zao hivyo kuongeza ufanisi
mahali pao pa kazi.
Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya
Simu za Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, Jane Matinde wakati wa
bonanza la kila mwaka la siku ya wanafamilia wa kampuni hiyo.
Bi Jane alisema michezo ni kichocheo muhimu katika afya ya mwili na
akili hivyo endapo wafanyakazi watashiriki katika shughuli za michezo
kutaifanya...