Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari

WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanafamilia wagombea vyama, waumizana

WANACHAMA wa CCM na Chadema wa familia mbili tofauti wamepigana na kuumizana vibaya wakizozana kuhama katika vyama hivyo.

 

10 years ago

GPL

DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI

UKANJANJA! Jeshi la Polisi wilayani Ikungi, Singida linamshikilia daktari anayedaiwa kuwa ni feki, Prosper Samson (pichani) kwa madai ya kumtibu mgonjwa Jibuli Mahende, mkazi  Kijiji cha Iyumbu, Sepuka na kumsababishia kifo chake, Uwazi linakupa mkasa huo kwa kina. Bw.Prosper Samson anayedaiwa kuwa ni daktari feki, akiwa nyumbani kwake. Habari zinadai kuwa,… ...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaume 3 wagombea maiti ya mwanamke

KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanaume watatu, wawili wakazi wa jijini hapa na mmoja mkazi wa Nyamongo wilayani Tarime juzi wakiwa katika Mtaa wa Isagenge B, Kata ya Nyakato wilayani Nyamagana, walizua tafrani baada ya kung’ang’ania maiti ya Happy Wangoge Mathias (33) aliyekufa siku chache baada ya kuolewa na Paschal Mayala, jijini hapa.

 

9 years ago

GPL

MKE, MCHEPUKO WAGOMBEA MAITI

Mke wa marehemu, Anna. Dustan Shekidele, Moro Kha! Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Bella aliyedaiwa kuwa ‘mchepuko’ wa mwanaume aitwaye Lugano aliyefariki dunia wiki iliyopita, alinusurika kipigo baada ya kuvamia msibani akigombea maiti na mke wa ndoa. Tukio hilo la kushangaza lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu huyo maeneo ya Kota za Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Sokoine (Sua)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua wanafamilia

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini

WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....

 

10 years ago

Mwananchi

Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar

>Huzuni, simanzi na majonzi jana vilitawala maeneo ya Kipunguni A na baadaye kwenye Makaburi ya Airwing Ukonga, Ilala wakati miili ya watu sita waliofariki dunia kwa kuungua moto Jumamosi alfajiri ilipozikwa.

 

9 years ago

GPL

SIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL YAFANA DAR

Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakishindana kucheza muziki chini ya bomba la mvua wakati wa bonanza la siku ya familia ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya Airtel Tanzania wakifurahia michezo katika bwawa la kuogelea la Hoteli ya Kunduchi Beach Wet in Wild, katika siku ya familia wa kampuni hiyo jijini Dar es...

 

9 years ago

Michuzi

SIKU YA WANAFAMILIA YA KAMPUNI YA AIRTEL TANZANIA YAFANA DAR

WITO umetolewa kwa wafanyakazi nchini kushiriki michezo kwani kwa
kufanya hivyo kutaweza kuimairisha afya zao hivyo kuongeza ufanisi
mahali pao pa kazi.

Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya
Simu za Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, Jane Matinde wakati wa
bonanza la kila mwaka la siku ya wanafamilia wa kampuni hiyo.
Bi Jane alisema michezo ni kichocheo muhimu katika afya ya mwili na
akili hivyo endapo wafanyakazi watashiriki katika shughuli za michezo
kutaifanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani