Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafamilia wagombea vyama, waumizana

WANACHAMA wa CCM na Chadema wa familia mbili tofauti wamepigana na kuumizana vibaya wakizozana kuhama katika vyama hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanafamilia washitakiana,wagombea maiti ya daktari

WANAFAMILIA ya daktari mstaafu, Cleophas Senga (80) aliyekuwa mkazi wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ambaye kwa sasa ni marehemu, imefikishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Sumbawanga, wakigombea maiti ya baba yao kwa muda wa siku tano sasa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na washabiki watahadharishwa Singida

SAM_0134

Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wanaojihusisha na kilimo cha mboga mboga wilayani Singida.

SAM_0141

Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya wiki moja kwa wakulima wa mboga mboga wilaya ya Singida vijijini waliohudhuria mafunzo hayo kwenye majengo ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO)Mkoani Singida.

SAM_0125

Mmoja wa washiriki wa...

 

5 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA 12 VISIVYO NA WAWAKILISHI BUNGENI VYATANGAZA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25,KUSIMAMISHA WAGOMBEA KILA JIMBO

VYAMA vya siasa nchini visivyokuwa na wawakilishi Bungeni vimetangaza kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu wa 2020 kwa ngazi udiwani na ubunge.

Baadhi ya vyama hivyo ni DP,NRA, AAFP, UMD, UDDP, Makini, TLP,UDP, SAU, NLD, ADC, na CCK ambapo pamoja na mambo mengine vitafanya kampeni katika uchaguzi huo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa umoja huo, Rashid Rai amesema wanatangaza kushirikiana katika uchaguzi mkuu kwenye ngazi...

 

10 years ago

Michuzi

WENYEVITI WA TAIFA WA VYAMA VYA NCCR -MAGEUZI ,JAMES MBATIA NA AGUSTINE MREMA WA TLP WAWANADI WAGOMBEA WAO JIMBONI VUNJO.

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi akiendelea na mikutano ya kampeni katika kijiji cha Kisangesangeni kata ya Kahe akiwanadi wagombea wa nafasi za Uenyekiti.Msafara wa Pikipiki ukiongoza kuelekea kijiji cha Ngaseni kwa ajili ya mikutano ya kampeni ya chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM LAPIGA MARUFUKU WAGOMBEA WA VYAMA VYA SIASA KU FANYA VITENDO VINAVYOHATARISHA USALAMA.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIAPRESS RELEASE25/08/2015Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limegundua kwamba kuna baadhi ya wagombea wa vyama vya siasa ambao wameanziasha mtindo wa kutembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam kama vile vituo vya daladala, masoko mbalimbali, n.k. kwa madai ya kuyatembelea makundi ya watu wenye kipato cha hali ya chini.
Kutokana na uzoefu uliojitokeza katika ziara hizo zisizo rasmi ni kwamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukuta waua wanafamilia

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa zimesababisha vifo vya watu watatu wa familia moja baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba walipokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafamilia wapoteza fahamu usingizini

WATU wanne wa familia moja wakiwemo watoto wawili wamelazwa katika zahanati ya Kata ya Kisorya, wilayani Bunda, baada kupoteza fahamu katika mazingira ya kutatanisha wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani